Uganda led Burundi talks: Is there a hidden agenda for these talks?

jMali

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
8,404
4,973
Regime change in Burundi appears to be the EU and US government objective. For this to happen, the EU and the US government enlisted the help of General Paul Kagame. Kagame is the top warlord that helped some western corporations and governments to ruin DRC. After ruining DRC some multinational corporations and some western governments were able to plunder DRC’s abundant natural resources, including minerals like Tantalum, Uranium and Oil.

The multinational corporations believed that it would be a walk over for Kagame to ruin Burundi. However, much to General Kagame and his western sponsors’ surprise, Burundi is much stronger military, diplomatically and politically than Kagame and his partners-in-crime anticipated. The Uganda led Burundi talks, sponsored by the EU, are probably a tool for grabbing Burundi with a pen , after other methods hit a deadlock.

Reports that Burundi has 6% of world’s Nickel deposits, reports of existence of oil in Burundi and Burundi’s strategic position for entry into South Kivu – DRC – abundant natural resources such as Tantalum, Uranium and Oil are the major factors for the current scramble for Burundi among the superpower countries.

When the Burundian government signed Nickel mining concession with a Russia based firm, it was clear that some form of war between Russia and the US would erupt in Burundi. A proxy war was the most likely thing to happen. That’s what is happening in Burundi now.

Many attempts by some western corporations and governments to grab Burundi have, so far, failed. From creating rebel groups, armed “protesters”, riots, a coup, murdering people to trigger UN Charter Chapter 7 military intervention in Burundi to the AU proposal to send troops to Burundi have yielded very little for the proponents of regime change in Burundi.

Burundi has consolidated its security system. Kagame forces find it difficult, if not impossible, to cause havoc in Burundi, at least on a large scale to trigger UN Chapter Chapter 7 intervention.

If Kagame forces do not infiltrate Burundi’s newly consolidated security system, given the regional negative perception of regime change in Burundi, the western corporations dying for Burundi’s Nickel and entry into DRC South Kivu through Burundi will have to wait for much longer before they can grab Burundi.

As the EU was pushing for AU force to Burundi, both the EU and the AU were aware that the government of Burundi would not allow the AU force into Burundi. Burundi government was probably aware of the EU-AU scheme. Both the EU and AU knew that without consent from Burundi, sending AU force to Burundi would be sanctioning war against a member state.

Article 53(1) of the UN Charter explicitly forbids the AU or any regional grouping from sanctioning war against a member state. The EU and the US knew that Russia and China would not allow Chapter 7 UNSC intervention. Grabbing Burundi by violence, within Burundi, is clearly the only possible option for the western corporations eyeing Burundi.

Returning to Burundi the “rebels”, who are holed in Rwanda and some European countries, through peace talks so that they ruin Burundi’s security system as well as assassinating president Nkurunziza and the top security personnel of Burundi appears to be the major objective of the peace talks in Arusha. Shortly after the EU announced their intention to sponsor the talks, a new Burundi rebel group was announced.

The following day, the new rebel group wrote to President Museveni asking him to join the talks as a rebel group. Around the same time, 1000 former M23 fighter who were in a camp in Uganda ” escaped” to an “unknown” place. During the same week there were reports of rebels fighting along the DRC-Burundi border. Selection of the parties to join the Arusha talks remained a secret between the EU, AU and president Museveni. The government of Burundi, a democratically elected government, was left out of the process to select the parties to join talks.

It emerged that a bigger group of the people that were invited to the talks was related to the ” rebels”. The government of Burundi, the opposition in government and the civil society working in Burundi were the least represented groups in the talks. The game plan was for the people who were invited to the talks to vote on every issue so that a group with more votes on each issue wins.

There were two major issues: ( a) allowing AU troops into Burundi and (b) granting amnesty to the ” rebels” so that they join the talks and share power with the government. In reality, a big part of the ” rebels” is Kagame special force and Kagame M23 former fighters. Burundi government, and some regional countries, appears to have discovered the EU-AU trick, a trick Kagame and Museveni used to entrench their M23 fighters into DRC security system using the infamous Kampala DRC peace talks.

If the EU, the US, the AU and other actors were acting in good faith on the crisis in Burundi, honesty, they would not have remained silent about Rwanda’s acts of aggression on Burundi. Acts of Aggression are a crime against international peace.

The UN Charter, the ICC and the AU Constitutive Act consider Aggression a crime and the ICC has jurisdiction over Aggression. Ironically, although the international community is aware of the horrific crimes Kagame committed in DRC, neither the UN nor any regional organization has come out to condemned Kagame’s obvious acts of aggression in Burundi.


Dr Charles Kambanda
Source:
therwandan
 
NKURUNZINZA mshamba sana hakuna namna apigwe tu warudni wanaishi maisha duni na ya fedheha sana
 
NKURUNZINZA mshamba sana hakuna namna apigwe tu warudni wanaishi maisha duni na ya fedheha sana
Ushamba wake nini sasa?Mbona adui zake wa asili wanang'ang'ania madaraka ona Nyadwi wa Uganda eti ndiyo msuluhishi,Kagame ndo kura imemruhusu hadi 2033,Kabila anazugazuga.
Nkurunzunza Umesahau ya michombero na misitu ya Malagarasi au ? komaa usithubutu kuwasaliti kaka zako Ndandaye na Cyprian.Ukiwapa nchi Karibu tena Malagarasi na Kanembwe
 
Ushamba wake nini sasa?Mbona adui zake wa asili wanang'ang'ania madaraka ona Nyadwi wa Uganda eti ndiyo msuluhishi,Kagame ndo kura imemruhusu hadi 2033,Kabila anazugazuga.
Nkurunzunza Umesahau ya michombero na misitu ya Malagarasi au ? komaa usithubutu kuwasaliti kaka zako Ndandaye na Cyprian.Ukiwapa nchi Karibu tena Malagarasi na Kanembwe

Tunamuondoa muda si mrefu hatuwezi ongozwa na mtu asiyekuwa na personality ya kuwa RAIS
 
He is raising some valid arguments, but with a tinge of some wild and unsubstantiated allegations.
 
such as... such as what? nothing!!! kwanza sijuwi hata kwa nini MK254 anaingia mkenge na vi story vyenu vyakuchonga! hivi jMali ni lini angalau utakuwa unakuja na story za kumfanya mtu akuamini? yaani nilipofika paragraph ya nne tu nikakatisha na story yote... lini mtaanza kuishi kwa reality? kwa hiyo hata FDLR mmekaa mkao wa kula, mnasubili kuja kwa Mrusi? Africa ya leo siyo ile ya zamani! imeshaona umuhimu wa kumcontrol Nkurumbi asije akawamaliza ndugu zake... haina uhusiano wowote na hizo story zako... hebu msikie mrusi: "For us it will be very difficult to oppose any resolution from the African Union" - Russia's Deputy UN Ambassador Petr Iliichev on Burundi mmarekani ndio usiseme! wale wahuni kina vyuma wametaka kumshika z#%&a kwa nguvu, kumzuia asifanye press conference ... CNDD-FDD noma kweli kweli... nilikuwa najuwa Burundi inaongozwa na wahuni lakini nilikuwa sijuwi kwamba wako uncivilized namna hii... hakyanani, kwa namna hii marafiki wote watawakimbia wabaki na waziba macho/masikio akina MALCOM LUMUMBA Maziku Masunga Jr. Bukyanagandi
 
Ndugu yangu mchambawima1 sidhani kama issue ni kuingizwa mkenge wala nini, maana hatupo humu kushindana ila tupo kujadili mada zilivyo na kujielimisha kwenye masuala ya kimataifa. Huyu jMali pamoja na kwamba mara nyingi huwa sikubaliani naye, lakini kuna wakati huwa anawasilisha hoja zenye mantiki na inakuwa vigumu kwa msomi yeyote kubisha bila ushahidi.

Tatizo langu na yeye ni kwamba hajawahi ona chochote kizuri ndani ya Rwanda, hiyo inanifanya kumwona kama mtu aliyeajiriwa kwenye mitandao kuiharibia Rwanda au kama mtu mwenye interest fulani. Lakini pia anakua wakati mwengine na points muhimu sana na zinazostahili kutumia akili kubisha, itakua ulimbukeni kwangu mimi kumbishia kila kitu. Jameni tujifunze kujadili hoja bila ushabiki maana kuna watu wengi wanasoma hizi mada na kunufaika na taarifa zilizomo.
 
Ndugu yangu mchambawima1 sidhani kama issue ni kuingizwa mkenge wala nini, maana hatupo humu kushindana ila tupo kujadili mada zilivyo na kujielimisha kwenye masuala ya kimataifa. Huyu jMali pamoja na kwamba mara nyingi huwa sikubaliani naye, lakini kuna wakati huwa anawasilisha hoja zenye mantiki na inakuwa vigumu kwa msomi yeyote kubisha bila ushahidi.

Tatizo langu na yeye ni kwamba hajawahi ona chochote kizuri ndani ya Rwanda, hiyo inanifanya kumwona kama mtu aliyeajiriwa kwenye mitandao kuiharibia Rwanda au kama mtu mwenye interest fulani. Lakini pia anakua wakati mwengine na points muhimu sana na zinazostahili kutumia akili kubisha, itakua ulimbukeni kwangu mimi kumbishia kila kitu. Jameni tujifunze kujadili hoja bila ushabiki maana kuna watu wengi wanasoma hizi mada na kunufaika na taarifa zilizomo.
geez! usinifanye na mimi nikuulize... such as? mkuu MK254 kuingizwa "mkenge" maana yake ni kudanganywa/kurubuniwa... nothing to do with "rivalry" lol... hoja zenye mantiki? kabla ya kubisha bila ushahidi, kwa nini mwandishi asiandike akiambatanisha na ushahidi? huyu jMali hana lolote! ni poisonous kuliko unavyofikiri, hebu acha tusaidizane, ni kitu gani hapo kwenye hii story kinachoweza kukushawishi umuamini? kwani mi sioni tofauti yoyote zaidi ya yale makelele ya kina MALCOM LUMUMBA Maziku Masunga Jr. Bukyanagandi ambao wanajifanya hawajui hata maana ya neno "allegations"
 
Huyo Samantha anahusika vipi na kile kinachoendelea Burundi.?? Uwepo wake yeye una faida gani wa moja kwa moja kwa watu wa Burundi.?? Unafahamu sera za nje za Urusi na Amerika.?? Ni lazima utambue kuwa ni kwa nini Burundi aliamua kumpa Mrusi tenda ya kuchimba Nickel.?? Na sio Amerika au mataifa ya magharibi.!! Unafahumu uhusika wa mataifa makubwa kwa migogoro inayoendelea Afrika.?? Je, kile kinachoendelea Burundi ni sababu ya wapinzani kususia uchaguzi au kuna shinikizo nyuma ya pazia.??

Urusi na China kwa pamoja; sera zao zinafanya kazi na serikali zilizopo madarakani, haijalishi serikali hizo zilipatikana vipi. Tofauti na uhusika wa Amerika kwa serikali nyingi za kiafrika, huwa wanaingilia mambo ya ndani ya taifa husika. Ni lazima ujiulize nafasi ya Uganda, Rwanda na Tanzania katika migogoro ya Burundi. Wote tunafahamu mapinduzi ya Laurent Kabila yalianzia Uganda, mapinduzi ya Habyarimana na Ntaryamira yote yaliandaliwa na kikosi cha RPF nchini Uganda. Hata leo vurugu za Burundi zinachochewa na hizi nchi mbili za Rwanda na Uganda.
ni kwa sababu waliompinga hawakuweka "Nickel" mbele ya makubaliano ya Arusha au ubinadamu! Nkurumbi kajikomba kwa Urusi na China baada ya kuona dunia imemgeuka kutokana na mshikemshike zake na sio hizo palalila unazo taka kutuaminisha MALCOM LUMUMBA Bukyanagandi
 
Bwana mkubwa usijaribu kabisa kupima uwezo wa lugha na matukio yanayoendelea maziwa makuu, sababu utaumbuka.!! Nilishakuuliza wako wapi wakina James Kabarebe, Sultan Makenga na Vianney Kazarama.?? Ulishindwa kunipa jibu ya swali hili. Nakuuliza tena kuna uhalali gani wa kuhifadhi watu waliohusika na matukio ya kivita yaliyokuwa yakiendelea Kongo mashariki.?? Kama nchi imeweza kuwahifadhi na kuwapa stahiki wanajeshi hawa, vipi uhusika wa kile kinachoendelea Burundi.?? Ambapo serikali ya Bujumburu ilishaeleza wazi kabisa kama inahujumiwa na mataifa jirani ya Rwanda na Uganda.
Kabarebe ni waziri wetu wa ulinzi, Sultani ni mkimbizi Uganda... hivi kwa nini unakuwa haujielewi wewe! kwani nchi gani isiyopokea wakimbizi? hivi wewe unajuwa Mandela, Obote, Chiluba, Kabila mzee, Museveni... etc! walikuwa wakiishi Tanzania? MALCOM LUMUMBA
 
Mkuu bado sana, Arusha accords ilikuwa ni kama nguzo ya kusimamia makubaliano na maafikiano ya Burundi kwa masuala ya kisiasa na usalama wa taifa hilo. Kuhusu matumizi ya rasilimali na nani anapaswa kusimamia ni jukumu la taifa husika, na hatupaswi kuingilia.

Tatizo lako wewe, nimekuuliza madai mengi na unanijibu kwa jibu moja tu tena kirahisi rahisi na laini laini, kama serikali yako inavyofanya kujibu tuhuma dhidi ya serikali ya Burundi. Lakini serikali za Uganda na Rwanda hazipaswi kusimamia mgogoro wa Burundi, kwa sababu serikali iliyopo madarakani haina imani na Rwanda na Uganda.
off-course usimamizi wa mali hasiri za nchi ni maamuzi ya nchi yenyewe! kwa hiyo finally tunakubaliana ya kwamba makubaliano ya Arusha ndio nguzo ya amani Burundi? sasa unataka nikujibu vipi? nikusaidie kivipi, wakati kwenye maswali yako unajifanya unajuwa sana wakatio haujuwi lolote! Rwanda ishasema msimamo wake! Nkurunziza tunamuona kama vile "kichaa" asiyejuwa cha kufanya na asiyetaka msaada... msimamo wetu unajulikana, hatutaki kujihusisha na mambo ya warundi ambao wameshatuonyesha kutotaka msaada wetu! Burndi haendi mtu labda nyie...
 
teh teh teh baada ya kukamilisha kazi yake iliyompeleka Kongo, leo amekuwa waziri wa ulinzi katika serikali ya Kagame. Kiongozi wa M23, Sultan Makenga leo amekuwa mkimbizi na haki zote za kikimbizi nchini Uganda.?? Ujue usichekeshe umma.!! Na yule Vianney Kazarama yuko wapi, na anaishi kwa msaada wa nchi gani.??
wewe ndio haujuwi kinachoendelea! Kabarebe ni mwanajeshi wa Rwanda na alienda DRC kumsaidia kabila mzee kuikomboa DRC na kuwarudisha kina jMali kwao! kwani wewe ulitaka iweje? hebu ngoja leo nikuulize, hivi tatizo la wanyamulenge unalichukuliaje?
 
Ndio, na yatafanikiwa kwa mara nyingine kupitia serikali ya Tanzania.

Mimi sihitaji majibu wala msaada wako, kwa sababu huwezi kunisadia kitu chochote.

Serikali ya Nkurunzinza haikuwahi kuhitaji msaada kutoka serikali ya Kagame, ni serikali ya Kigali na Entebbe ndio zinahamasisha mazungumzo yaongozwe na Museveni.
haujielewi wewe! nashindwa hata kuelewa unachokiongea wala unachotaka kuelewa! Rwanda isahau wewe... Rwanda will not send troops to Burundi- Kagame - KT PRESS nendeni huko mkajijuwe na Uganda yenu, yetu macho tu
 
Aisee wewe bwana mkubwa, kipi ambacho hakijulikani kabla na baada ya kufukuzwa kwa Kabarebe katika jeshi la Kongo. Baada ya kuhusika na mapinduzi ya Mobutu, ni pandikizi lililofeli katika michakato ya kuiongoza Kinshasa, na jambo ambalo limeshindakana katika serikali ya Bujumbura.
haya hebu niambie unachokijuwa wewe!
 
Back
Top Bottom