Uganda haitawarudisha M23

jMali

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
8,379
4,899
Kampala (AFP) - Uganda will not hand over to the Democratic Republic of Congo M23 rebels who fled after a resounding military defeat, the spokesman for the army and the defence ministry said Friday.

"They are not prisoners; they are soldiers running away from a war so we are receiving them and helping them because it is our responsibility," Colonel Paddy Ankunda told AFP, adding that Uganda had also welcomed fleeing soldiers from the DRC's national army earlier in the year.

source: yahoo news.

my take: kama ni hivyo basi na Congo iseme wazi kuwa FDLR, LRA, na makundi mengine hostile to Uganda na Rwanda sasa ni watu huru ndani ya DRC!
 
inabidi nao wafanye hivyo tuone hawa Waganda watachukua hatua gani zaidi,ina maana mambo ni magumu nchini DRC kwa upande wa hao waasi wa M23?
 
Kampala (AFP) - Uganda will not hand over to the Democratic Republic of Congo M23 rebels who fled after a resounding military defeat, the spokesman for the army and the defence ministry said Friday.
"They are not prisoners; they are soldiers running away from a war so we are receiving them and helping them because it is our responsibility," Colonel Paddy Ankunda told AFP, adding that Uganda had also welcomed fleeing soldiers from the DRC's national army earlier in the year.
source: yahoo news.

my take: kama ni hivyo basi na Congo iseme wazi kuwa FDLR, LRA, na makundi mengine hostile to Uganda na Rwanda sasa ni watu huru ndani ya DRC!

No wonder African dictators hate ICC
 
Msimamo wa Zuma kama wa Uganda , amani kwanza.visasi havilipi vitaendelaza malumbano. Suddenly Kabila anachonga na jeuri kibao ameshasahau fadhila za UN. Ndivo miafrika tuliovyo.
 
warudishwe wakashitakiwe drc unless kama walikuwa ni waganda waliokwenda kongo kupora mali wamekimbilia kwao
Eyoma umeona kitu hapo!hiyo miganda bhana na usishangae
ukaikuta iko mitaani ikiwa na wake na watoto wao mjini kampala!
 
Back
Top Bottom