Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Hili comment limekaa aje? Wewe hujui umuhimu wa trade.Sisi tunataka kila nchi ibaki na soko lake, ili kumaliza huku kulaumiana kila mara. Kenya msiuze bidhaa Uganda wala Tanzania, na Tanzania nao wasiuze bidhaa Kenya. Kila nchi ibaki na bidhaa zake.
Sent using Jamii Forums mobile app