Ufunguo bandia

Joined
Nov 23, 2011
Posts
12
Reaction score
3
MTOTO: baba kuna tofauti gani kati ya kilichopo katikati ya mapaja ya mama na kwako?
BABA: kwa mama yako kuna geti la kuingilia PARADISO na kwangu kuna UFUNGUO wa kufungulia hilo geti
MTOTO: kama ni hivyo nakushauri ubadilishe kitasa kwani nahisi jirani yetu kachongesha FUNGUO nae anafungua, BABA hoi kazimia.,?
 
duh jirani nae ana ufunguo bandia.. Master key... Aaah.. Naua mtu..
 
sasa kwa mtindo huu tukae wapi kusiko na jirani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…