Nitajie sheria ya Tanzania inayokuruhusu kufuga mbweha kibiasharaTunazungumza fursa za biashara, wewe unasema misukule! Ukiona biashara hiyo haikufai wewe usijihusishe nayo na wala usiseme lolote.
Ni afadhali uongee upande wa sheria namna hiyo kuliko ulivyoanza na maneno ya kijiweni. Je kuna sheria yoyote inayozuia kufuga mbweha? Najua huko mikoa ya Shinyanga kuna watu wanafuga fisi, na mimi nikiwa shule ya msingi tulikuwa tunafuga sungura. Kama watu wamekuwa wanauza ndege nchi za nje, sioni ugumu wa kupata expor licence ya kuuza mbweha.Nitajie sheria ya Tanzania inayokuruhusu kufuga mbweha kibiashara
Mkuu vipi fisi huhitaji?Nimegundua soko zuri sana la mbweha ninataka kuanza kuwafuga. Kuna watu wanapenda kufuga mbweha kuliko hata mbwa kwa sababu mbweha walifuugwa wanafurahisha sana kuliko mbwa wa kawaida; wanajua kucheka na kumfanya mfugaji kufurahi. Angalia huyu hapa
Nitahitaji kukamata vitoto vidogo vya mbweha kabla havijajifunza tabia za porini nivifuge kama mbwa wa kawaida kwa kuvichanganya na mbwa, halafu vikishazaliana kiasi cha kutosha ndipo nitaanza kuwa-export. Kwa vile natumia muda mchache sana Tanzania, nitahitaji mtu wa kuwaangalia kwa muda kama miaka miwili kabla biashara haijaanza kuchanganya. Jambo ninalopenda kuuliza hapa, ni kutaka kuelewa maeneo yepi yana mbweha wengi kusudi nijenge zizi hilo maeneo hayo. Ni sehemu zipi za nchi hii zina mbweha wengi? Ninazungumzia eneo ambalo inawezekana kufuga mbweha 100 na zaidi kwa wakati.
Ukimaliza mbweha utaanza kufuga Bundi kama mbadala wa njiwa.Nimegundua soko zuri sana la mbweha ninataka kuanza kuwafuga. Kuna watu wanapenda kufuga mbweha kuliko hata mbwa kwa sababu mbweha walifuugwa wanafurahisha sana kuliko mbwa wa kawaida; wanajua kucheka na kumfanya mfugaji kufurahi. Angalia huyu hapa
Nitahitaji kukamata vitoto vidogo vya mbweha kabla havijajifunza tabia za porini nivifuge kama mbwa wa kawaida kwa kuvichanganya na mbwa, halafu vikishazaliana kiasi cha kutosha ndipo nitaanza kuwa-export. Kwa vile natumia muda mchache sana Tanzania, nitahitaji mtu wa kuwaangalia kwa muda kama miaka miwili kabla biashara haijaanza kuchanganya. Jambo ninalopenda kuuliza hapa, ni kutaka kuelewa maeneo yepi yana mbweha wengi kusudi nijenge zizi hilo maeneo hayo. Ni sehemu zipi za nchi hii zina mbweha wengi? Ninazungumzia eneo ambalo inawezekana kufuga mbweha 100 na zaidi kwa wakati.
Sijapata soko la bundi na sidhani kama kuna watu wanahitaji kuwafuga. Nikipata soko lake na nikaweza kuwafuga, nitafuga tu. Unajua sisi waswahili tuna tabia ya kudhani kuwa wanyama fulani ni haramu, lakini wenzetu wanawaona ni wanyama tu. Hata Bundi ni ndege mkama ndege wengine tu.Ukimaliza mbweha utaanza kufuga Bundi kama mbadala wa njiwa.
Sheria ya Tanzania inayo ruhusu kufuga misukule kibiashara ipo wapNitajie sheria ya Tanzania inayokuruhusu kufuga mbweha kibiashara
Siyo kuwa namuachia peke yake, nitakuwa ninafuatilia kwa karibu kwa kutembelea mara kwa mara na kuhakikisha kuwa ufugaji unakwenda vizuri ikiwa ni pamoja na kutumia wataalamu wa wanyama. Soko la uhakika tayari ninalo, ninakosa mbweha tu.Kwahiyo kwa sababu wewe una muda mchache Tanzania utaanzisha zizi la mbweha kama 100 hivi kisha utamkabidhi jamaa akusaidie juu ya makuzi ya mbweha hao ktk kipindi cha miaka miwili? So utakuwa Uko kwa mbali unaMonitor jamaa anavyowatunza huku ukiendelea kutafuta masoko
😀Maisha yameshapanda bei.Nimegundua soko zuri sana la mbweha ninataka kuanza kuwafuga. Kuna watu wanapenda kufuga mbweha kuliko hata mbwa kwa sababu mbweha walifuugwa wanafurahisha sana kuliko mbwa wa kawaida; wanajua kucheka na kumfanya mfugaji kufurahi. Angalia huyu hapa
Nitahitaji kukamata vitoto vidogo vya mbweha kabla havijajifunza tabia za porini nivifuge kama mbwa wa kawaida kwa kuvichanganya na mbwa, halafu vikishazaliana kiasi cha kutosha ndipo nitaanza kuwa-export. Kwa vile natumia muda mchache sana Tanzania, nitahitaji mtu wa kuwaangalia kwa muda kama miaka miwili kabla biashara haijaanza kuchanganya. Jambo ninalopenda kuuliza hapa, ni kutaka kuelewa maeneo yepi yana mbweha wengi kusudi nijenge zizi hilo maeneo hayo. Ni sehemu zipi za nchi hii zina mbweha wengi? Ninazungumzia eneo ambalo inawezekana kufuga mbweha 100 na zaidi kwa wakati.
Labda wanafungua zoo, au wanavibali vya kufuga wanyama wa pori.Nitajie sheria ya Tanzania inayokuruhusu kufuga mbweha kibiashara
Nimepata mtu wa akunisaidia kupata vibali na masharti yake. Kuhusu kusafirisha nje pia kuna sharti la kwamba tusifirishe namba isiyozidi kiasi fulani; cha muhimu ni kuwa tunaruhusiwa kusafirisha idadi tutakayozalisha lakini siyo wale wa kukamata porini. Tatizo ambalo bado tunashughulikia ni namna ya usafirishaji kwani ni KLM tu ndiyo inayoweza kuwasafirisha kwa sasa ispokuwa wanatakiwa wasajiriwa kama pets siyo wild animals. Yote hayo ni sawa tu kwa sasa kwani zoezi zima litachukua kama miaka miwili hivi.Mleta mada nakupongeza kwa wazo la biashara,wazo zuri ingawa kuna watu wasioweza kufikiri nje ya box wanaleta mizaha.Kabla ya kufuga uwasiliane na TAWA,wanahusika na wanyama pori wakupe kibari cha kuwafuga na jinsi gani utakavyoweza kuwafuga, tabia zao,chakula ,mabanda nk.
Na kama unataka kusafirisha nje ya nchi unatakiwa kuomba kibari cha kuwasafirisha nje ya nchi.