nyemenowa tindamanyile Member Joined Jan 28, 2022 Posts 42 Reaction score 44 Oct 23, 2024 #1 Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao
Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao
Makorokoro Bondeni JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 1,370 Reaction score 2,100 Oct 24, 2024 #2 Miiko yake ni,weka mbali mifugo yako na Mbwa na Viumbe jamii ya Paka.
Sugarsukari JF-Expert Member Joined Mar 17, 2015 Posts 743 Reaction score 835 Nov 6, 2024 #3 nyemenowa tindamanyile said: Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao Click to expand... Tuone mabanda kama tayari yapo
nyemenowa tindamanyile said: Naanza ujasiliamali kwa kutakq kufuga hao KANGA, BATA BUKINI kwa ajili ya kitoeo na kuuza. Naomba kufahamishwa miiko na mengineyovkuh viumbe hao Click to expand... Tuone mabanda kama tayari yapo