Ufisadi wa mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo ukifumuliwa nchi itasimama! Ni zaidi ya EPA!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Kuna taarifa kuwa mradi huu ulikumbwa na ufisadi mzito na malengo yalikuwa ni yaleyale kusaidia kampeni za urais za CCM mwaka 2015!

Ufisadi huu wiki ijayo utafumuliwa na serikali hii ya awamu ya tano na nne zitabaki uchi kabisa! Sifa za watu zitatoweka na mambo yataanza upya!

Tuweke subira hadi hapo mambo yote yatakapowekwa bayana! Fedha hizi kuna watu walizitumia ili kugharamia kampeni za chama pendwa! Kwa hakika kutakuwa na mtikisiko mkubwa! Ila mimi ninachojiuliza, kuiba imekuwa jadi yao kila uchaguzi mkuu?
 
Kuna taarifa kuwa mradi huu ulikumbwa na ufisadi mzito na malengo yalikuwa ni yaleyale kusaidia kampeni za urais za CCM mwaka 2015!

Ufisadi huu wiki ijayo utafumuliwa na serikali hii ya awamu ya tano na nne zitabaki uchi kabisa! Sifa za watu zitatoweka na mambo yataanza upya!

Tuweke subira hadi hapo mambo yote yatakapowekwa bayana! Fedha hizi kuna watu walizitumia ili kugharamia kampeni za chama pendwa! Kwa hakika kutakuwa na mtikisiko mkubwa! Ila mimi ninachojiuliza, kuiba imekuwa jadi yao kila uchaguzi mkuu?
Mkuu G Sam Lete habari ya hawa Machafuko
 
Kuna taarifa kuwa mradi huu ulikumbwa na ufisadi mzito na malengo yalikuwa ni yaleyale kusaidia kampeni za urais za CCM mwaka 2015!

Ufisadi huu wiki ijayo utafumuliwa na serikali hii ya awamu ya tano na nne zitabaki uchi kabisa! Sifa za watu zitatoweka na mambo yataanza upya!

Tuweke subira hadi hapo mambo yote yatakapowekwa bayana! Fedha hizi kuna watu walizitumia ili kugharamia kampeni za chama pendwa! Kwa hakika kutakuwa na mtikisiko mkubwa! Ila mimi ninachojiuliza, kuiba imekuwa jadi yao kila uchaguzi mkuu?
Kweli cdm sahz mmeishiwa, lakini ni vizuri kujifariji ilihali siku ziende.
 
pesa ni za serikali au wananchi?

mwizi ni nani?

serikali au wananchi

mwizi anajiibia,anawaibia au anaiba?
 
Ngosha mwenyewe amegoma kuweka bayana kiasi anacholipwa . You still trust the guy as transparent leader??? Watanzania Ni weu Na wepesi wa kusahau.
 
Kuna taarifa kuwa mradi huu ulikumbwa na ufisadi mzito na malengo yalikuwa ni yaleyale kusaidia kampeni za urais za CCM mwaka 2015!

Ufisadi huu wiki ijayo utafumuliwa na serikali hii ya awamu ya tano na nne zitabaki uchi kabisa! Sifa za watu zitatoweka na mambo yataanza upya!

Tuweke subira hadi hapo mambo yote yatakapowekwa bayana! Fedha hizi kuna watu walizitumia ili kugharamia kampeni za chama pendwa! Kwa hakika kutakuwa na mtikisiko mkubwa! Ila mimi ninachojiuliza, kuiba imekuwa jadi yao kila uchaguzi mkuu?
Wiki ijayo??? Perfect timing! Watu wanatolewa tu kwenye reli.
 
Ngosha mwenyewe amegoma kuweka bayana kiasi anacholipwa . You still trust the guy as transparent leader??? Watanzania Ni weu Na wepesi wa kusahau.
Akiweka wewe itakusaidia nini raia wa kawaida? Unajuaje labda nae kasaini ile form??kuna waziri au mtumishi wa umma yeyote unajua analipwa kiasi gani??
 
Wiki ijayo??? Perfect timing! Watu wanatolewa tu kwenye reli.



Kama "reli" unayoizungumzia ni "uchafuzi wa Zanzibar", UKAWA kupitia CUF tulishatangaza kuwa hatutoshiriki " uchafuzi huo".Endeleeni tu na maandalizi yenu ya "uchafuzi " huo chini ya uratibu na usimamizi wa zecccm inayoongozwa na kada wenu jecha.
 
Akiweka wewe itakusaidia nini raia wa kawaida? Unajuaje labda nae kasaini ile form??kuna waziri au mtumishi wa umma yeyote unajua analipwa kiasi gani??
We umeanza ligi sasa Na Mimi nimekua siku hizi ligi nimefanya three years ago. ILA I can prove Ni kivipi kichwani upo empty.
 
pesa ni za serikali au wananchi?

mwizi ni nani?

serikali au wananchi

mwizi anajiibia,anawaibia au anaiba?
Labda sija kuelewa Muungwana,sijui una tofautishaje pesa za Serikali na za Wananchi au Wananchi ni nani na Serikali ni nani? nijuavyo mimi wewe mwananchi ndio mwenye Serikali na ndio Serikali na ndio mwenye pesa zinazo itwa za serikali,uki zungumzia Rais,mawaziri na Wabunge wale ni waajiriwa tu wa Wananchi ambao ndio wanao miliki Serikali ila kwa kutoelewa na kutojitambua katika haya,hawa jamaa wamevimba vichwa kwa kujua madhaifu ya Watanzania nakujenga viburi na sasa mwajiriwa anataka kutumikiwa na Waajiri(wananchi) na hata kufikia wakiiba na wakila rushwa wasiulizwe ni vibaya,ndio iwe sio,kweli iwe uongo na wakifanya haramu iwe halali,ndipo tulipo.
 
pesa ni za serikali au wananchi?

mwizi ni nani?

serikali au wananchi

mwizi anajiibia,anawaibia au anaiba?
pesa za wahisani zimetolewa Kwa ajili ya maendeleo ya nchi Na wananchi kiujumla ila zimetumiwa mwenye kampeni Na chama cha matapeli c..c.eem
 
Kuna taarifa kuwa mradi huu ulikumbwa na ufisadi mzito na malengo yalikuwa ni yaleyale kusaidia kampeni za urais za CCM mwaka 2015!

Ufisadi huu wiki ijayo utafumuliwa na serikali hii ya awamu ya tano na nne zitabaki uchi kabisa! Sifa za watu zitatoweka na mambo yataanza upya!

Tuweke subira hadi hapo mambo yote yatakapowekwa bayana! Fedha hizi kuna watu walizitumia ili kugharamia kampeni za chama pendwa! Kwa hakika kutakuwa na mtikisiko mkubwa! Ila mimi ninachojiuliza, kuiba imekuwa jadi yao kila uchaguzi mkuu?

Ni kweli kabisaaaaa!!!!
 
Back
Top Bottom