Kiufupi ni kwamba habar za siri zilofichika ni kwamba ccm imejiaandaa kutengua baadhi ya vipengele kwenye katiba mpya. Ili ccm ipate mwanya wa madaraka kwenye mfumo wa kuendelea kumchagua kamishna wa uchaguzi nchini!! Kwa kipengele hcho wadau tuwe makini kupambana na kutetea kipengele hicho ili kiwe huru katika kufanya na kuamua maauz yaliyosahihi kwa maslahi ya taifa au nyiny mnacemaje?? Kwa hili?!