Ufisadi wa Ardhi halmashauri ya Jiji la Mbeya

Ufisadi wa Ardhi halmashauri ya Jiji la Mbeya

Cloud Computing

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
334
Reaction score
85
Halmashauri ya jiji la Mbeya wameongeza kupima viwanja eneo la Itezi jijini Mbeya, lakini viwanja hivyo havijatangazwa kwa wananchi. Kilichotokea ni watendaji wa idara hiyo na watendaji wengine wa jiji kujigawia viwanja na kufanya udalali.
 
Halmashauri ya jiji la Mbeya wameongeza kupima viwanja eneo la Itezi jijini Mbeya, lakini viwanja hivyo havijatangazwa kwa wananchi. Kilichotokea ni watendaji wa idara hiyo na watendaji wengine wa jiji kujigawia viwanja na kufanya udalali.

Wamegawa lini mkuu?
 
hakika wakuu hilo limetokea na siyo kwa Itezi tu hata Isyesye pia hicho kitu kimetokea.
 
hakika wakuu hilo limetokea na siyo kwa Itezi tu hata Isyesye pia hicho kitu kimetokea.

Mkuu Kilimo hii halmashauri inatia aibu sana, urasimu mwingi mno ndio maana watu wanakata tamaa na kuamua kujenga holela
 
Last edited by a moderator:
Hamna ushahidi, hayo ni majungu tu. Ufisadi ni kitu kingine wala usipotoshe umma.

Mbona unatokwa na povu? Bila shaka na wewe ni mmoja wao! Mimi nimeshuhudia viwanja itezi vikipimwa kama mwezi sasa, na ninashuhudia viwanja vinauzwa lakini ukienda ofisi ya ardhi hamna hata tangazo kwamba kuna viwanja vimeongezwa. Watu kama wewe ndio mnasababisha jiji la Mbeya liendelee kuwa vibaya kwa upuuzi wenu.
 
Back
Top Bottom