Ufisadi Unavyoshamiri Kila Kiukicha Tanzania

Ufisadi Unavyoshamiri Kila Kiukicha Tanzania

Chief Mwigendya

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2024
Posts
228
Reaction score
201
Katika hali ya kushangaza kutoka vyanzo mbalimbali vinaonyesha kuwa tozo za abiria Viwanja Vya ndege Dola 45-90 zinakwenda mifukoni mwa watu mafisadi badala ya serikali, kampuni feki ya Samir ilikabidhiwa tenda hiyo Arusha siku ya wanawake duniani, mpaka hakuna senti iliyoingia serikalini, n.b Abdul ni kulwa na Samir ni Doto japo ni muhindi kachikua nafasi ya Saidi Lugumi , watanzania endeleeni kulala mpaka nchi ifilisike .
 
Kuna wakati hua natamani sheria ya kunyongwa hadharani hadi kufa kwa mafisadi, wezi na wabadhirifu wa mali za uma
 
Back
Top Bottom