Ufisadi TANESCO Kituo cha Himo Umulikwe

Ufisadi TANESCO Kituo cha Himo Umulikwe

proisra

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2012
Posts
215
Reaction score
159
Uongozi wa Shirika la Umeme Tanesco kwa Kituo cha hapa Himo(Kilimanjaro) wamekuwa wababaishaji sana. Rushwa imejaa kila kona.

Sisiwananchi wa vijijini (Kirua Vunjo, Mwika, Kilema, Marangu) tunashindwa kuelewamambo ya rushwa hapa ofisini yataisha lini.

Ukitaka kufungiwa huudma ya umemenyumbani, ‘Toa kitu Kidogo'. La sivyo watakuonesha orodha ndefu ya watuwanaosubiri huduma hiyo toka mwaka 2014.

Wale wa mwaka huu 2015 wasiopendatabia hii chafu ya kuhonga wanatakiwa wasubiri hadi 2016, na visingizio kibao.


Tunaomba Tanesco Makao makuu DSM na Mkoa wa Kilimanjaro mfanyiekazi jambo hili tena kwa haraka.

Tunaomba EWURA na TAKUKURU iwamulike maofisawa hapa Himo kwa sababu tumechoshwa na dana dana zao.

Ushahidi wa hali hii upowazi, na anachojitetea Meneja wa Tanesco Himo kwamba vifaa havipo ni uwongo,kwa sababu kama vifaa havipo, kwa nini mtu wa umeme-faster akitoa ‘kitu kidogo'anafanyiwa kazi ya kuunganishiwa umeme wiki hiyo hiyo ya survey?
 
Kweli asee hawafai kabisa hawa jamaa tangu January hadi saiv hawajafunga umeme wanataka laki moja, au uwe na refa makao makuu Dar es Salaam, natamani wanirudishie pesa zangu ninunue solar, wezi hawa hawana maana, sijui tutafanyaje sisi wanyonge, kabla ya kulipia wanakuahidi eti baada ya wiki mbili wanakuja kufunga umeme chaajabu wanadai rushwa,, TUMECHOKA KABISAA
 
utakuta waziri au meneja mkuu wanasikia malalamiko kama haya wana relax tu, yani hii SERIKALI YA KIPUMBAVU HAISIKIAGI HATA VILIO VYA WANANCHI ILA mwisho wenu oktober.....
 
Kweli asee hawafai kabisa hawa jamaa tangu January hadi saiv hawajafunga umeme wanataka laki moja, au uwe na refa makao makuu Dar es Salaam, natamani wanirudishie pesa zangu ninunue solar, wezi hawa hawana maana, sijui tutafanyaje sisi wanyonge, kabla ya kulipia wanakuahidi eti baada ya wiki mbili wanakuja kufunga umeme chaajabu wanadai rushwa,, TUMECHOKA KABISAA
Kumbe sio mimi peke yangu
Kituo cha Tanesco Himo kina shida kubwa sana. Namaliza mwaka sasa tangu nilipie na bado sina fungiwa umeme
 
Kweli asee hawafai kabisa hawa jamaa tangu January hadi saiv hawajafunga umeme wanataka laki moja, au uwe na refa makao makuu Dar es Salaam, natamani wanirudishie pesa zangu ninunue solar, wezi hawa hawana maana, sijui tutafanyaje sisi wanyonge, kabla ya kulipia wanakuahidi eti baada ya wiki mbili wanakuja kufunga umeme chaajabu wanadai rushwa,, TUMECHOKA KABISAA
Kumbe sio mimi peke yangu
Kituo cha Tanesco Himo kina shida kubwa sana. Namaliza mwaka sasa tangu nilipie na bado sina fungiwa umeme
 
Back
Top Bottom