G Gulwa JF-Expert Member Joined Jun 16, 2008 Posts 11,072 Reaction score 17,336 Apr 30, 2016 #1 Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
Niko hapa tcc club kwenye pambano, kinachofanyila getini Ni wizi WA mchana. Watu wengi wanalipa na hawapewi tickets, sisi ambao tumekuja kuzisaidia hizi bendi kongwe, nimekatishwa tamaa siji tena
Mavipunda JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 7,209 Reaction score 8,048 Apr 30, 2016 #2 Wizi mtupu
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,926 May 1, 2016 #3 Nani alishinda??