Ufisadi mwingine wa TPDC huu hapa

TPDC ilikufa siku nyingi baada ya watumishi waadilifu akina Lionel Mawalla , kustaafu.Watendaji waliopo sasa ni walaji wote wanatofautiana kiwango kulingana na vyeo vyao

Wizi mtupu. Mawalla alifanya nini special?
 
sielewi unatetea nini! Mwizi ni kosa kisheria sasa ni mfanyakazi gani aliyeshtakiwa kwa wizi!; tubandikie pia hao waliofukuzwa tpdc na makabila yao na waliobakia na makabila yao! Ili tuthibitishe humu bila shaka kwamba ni kweli tpdc kabla ya uongozi huu kulikuwa na wizi na ukabila! Hilo la wachoka kazi nalo ni vyema utuwekee hawa wapya wameboresha nini?
 

Huyu anaonekana kama ni bado muajiriwa kabaniwa mirija aliyokuwa ananyonya , kama amefukuzwa au kuhamishwa ni uzushi na uzandiki ili kukomoa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…