Mkurugenzi wa Utawala wa TPDC aliyeteuliwa miezi michache iliyopita alamba zaidi ya millioni 100 na kujitetea kuwa milioni 60 ni malipo ya takrima ya bodi. Takrima hiyo ni ya kulipa fadhila za kumteua na kuchakachua matokeo ya usaili wa wakurugenzi wengine. Bibi huyo ameingia kwa fujo za tamaa ya pesa na kuomba kupatiwa asilimia 10 ya malipo anayopitisha kila siku.
Sasa hivi anahangaika namna ya kufuta madeni hayo ambayo yameingizwa kwenye kitabu cha wadaiwa sugu wa shirika. Deni hilo la zaidi ya milioni 100 linaleta tabu kuondolewa na hataki kueleza fedha hizo aligawana na watu gani.
Huu ni Ufisadi wa aina yake. Kwanza pesa za bodi zinatunzwa na mtunza fedha wa shirika na sio mkurugenzi wa utawala. Je sheria za fedha zinaruhusu mtu kubeba zaidi ya milioni 100 cash na kujaza kwenye pochi na kutokomea nazo kusikojulikana ? Kama zina uhalali kwa nini mtunza fedha asilipe? Na kwa nini majina ya waliogawana hizo pesa iwe siri? hakuna anayeweza kuhoji kwa vile analindwa sana na hawala yake na akisumbuliwa kidogo jioni anapeleka mashtaka kwa hawala yake ambaye yuko wizara ya nishati na madini. CAG/PCCB wanatakiwa kuchunguza ufisadi huu wa huyu mkurugenzi.
Kutokana na ufisadi wake ameamua kumnyamazisha mwenyekiti wa bodi kwa kumpatia posho nyingi hata wakati anapokwenda kijijini kwake kwenye mapumziko. Mwenyekiti huyo akienda kijijini kwake au safari zake binafsi nje ya mkoa anapatiwa posho ya kujikimu yeye pamoja na dereva. Akisafiri nje ya nchi analipwa posho yote ya safari, anapewa takrima maelfu ya dola na vilevile analipiwa hoteli yenye hadhi kubwa ya nyota 4 au 5 sasa posho nzima ya nini kama kila kitu kimelipiwa na takrima juu? Huu ni ufisadi wa aina nyingine. Yote hayo ni harakati za kumnyamazisha ili waendeleze njama zao. Mwezi uliopita alikabidhiwa V8 mpya na dereva wa kumuendesha masaa 24 hivi tujiulize huyu mwenyekiti ni mtumishi wa shirika au kazi yake ni kusimamia bodi? Iweje anunuliwe gari la kumuendesha masaa 24?
Haya ndiyo yale mambo aliyokataa Mh Mwigulu Nchemba wa ufujaji wa V8 na matumizi mabaya ya madaraka pamoja na rasilimali za umma. Huyo hawala wa mkubwa naye kakabidhiwa V8 mpya kabisa ya kumhudumia masaa 24 hii ni maalumu kwake tuu na inatembea zaidi ya km 110 kwa siku pamoja na kumpeleka kwa mzee jioni na baada ya hapo apelekwe kwake bunju.
Wakuu wengine kalagabaho yeye ni maalumu. Je wadau hii nchi tunaipeleka wapi kama sio matumizi mabaya ya madaraka?
Sasa hivi anahangaika namna ya kufuta madeni hayo ambayo yameingizwa kwenye kitabu cha wadaiwa sugu wa shirika. Deni hilo la zaidi ya milioni 100 linaleta tabu kuondolewa na hataki kueleza fedha hizo aligawana na watu gani.
Huu ni Ufisadi wa aina yake. Kwanza pesa za bodi zinatunzwa na mtunza fedha wa shirika na sio mkurugenzi wa utawala. Je sheria za fedha zinaruhusu mtu kubeba zaidi ya milioni 100 cash na kujaza kwenye pochi na kutokomea nazo kusikojulikana ? Kama zina uhalali kwa nini mtunza fedha asilipe? Na kwa nini majina ya waliogawana hizo pesa iwe siri? hakuna anayeweza kuhoji kwa vile analindwa sana na hawala yake na akisumbuliwa kidogo jioni anapeleka mashtaka kwa hawala yake ambaye yuko wizara ya nishati na madini. CAG/PCCB wanatakiwa kuchunguza ufisadi huu wa huyu mkurugenzi.
Kutokana na ufisadi wake ameamua kumnyamazisha mwenyekiti wa bodi kwa kumpatia posho nyingi hata wakati anapokwenda kijijini kwake kwenye mapumziko. Mwenyekiti huyo akienda kijijini kwake au safari zake binafsi nje ya mkoa anapatiwa posho ya kujikimu yeye pamoja na dereva. Akisafiri nje ya nchi analipwa posho yote ya safari, anapewa takrima maelfu ya dola na vilevile analipiwa hoteli yenye hadhi kubwa ya nyota 4 au 5 sasa posho nzima ya nini kama kila kitu kimelipiwa na takrima juu? Huu ni ufisadi wa aina nyingine. Yote hayo ni harakati za kumnyamazisha ili waendeleze njama zao. Mwezi uliopita alikabidhiwa V8 mpya na dereva wa kumuendesha masaa 24 hivi tujiulize huyu mwenyekiti ni mtumishi wa shirika au kazi yake ni kusimamia bodi? Iweje anunuliwe gari la kumuendesha masaa 24?
Haya ndiyo yale mambo aliyokataa Mh Mwigulu Nchemba wa ufujaji wa V8 na matumizi mabaya ya madaraka pamoja na rasilimali za umma. Huyo hawala wa mkubwa naye kakabidhiwa V8 mpya kabisa ya kumhudumia masaa 24 hii ni maalumu kwake tuu na inatembea zaidi ya km 110 kwa siku pamoja na kumpeleka kwa mzee jioni na baada ya hapo apelekwe kwake bunju.
Wakuu wengine kalagabaho yeye ni maalumu. Je wadau hii nchi tunaipeleka wapi kama sio matumizi mabaya ya madaraka?