Zitto apishe ofisi kwanza ndo tujadili hili, natoa wito mzuieni huyu mtu kuingia bungeni hadi aachie ngazi, koka kanunua nyumba tena yenye hati halali, PAC imekuwa ofisi ya DCI kila siku kufatilia madili tu hawana mipango yoyote ya kututoa hapa tulipo na kupiga hatua ya maendeleo.
Ushauri wa hawa PAC umetugarimu sana, ndo hawa walishauri kuvunja mkataba wa Richmond miezi mitatu kabla ya mkataba kuisha ukatugarimu kweli, sasa wameshauri kutaifisha mitambo ya watu ushauri hata mganga wa kienyeji hawezi kutoa.