Wajumbe na
wanabodi salaamu kwenu.
Halmashauri ya Manispaa ya Temeke mkoa wa Dar Es Salaam kuanzia Tarehe
13/3/2013 mpaka 18/3/2013 itaendesha zoezi la UPULIZIAJI dawa kuzuia
WADUDU na MAGONJWA mlipuko kata Mbali mbali wilayani humu.
Zoezi hilo litasimamiwa na kampuni teule iitwayo KIHO COMPANY.
Gharama zilizopendekezwa ni kama ifuatavyo:
1. Kila Nyumba itatozwa= tshs 2000/=
2. Vibanda vya Mama lishe= tshs 4000/=
3. Gesti na Baa= tshs 8000/=
Habari nilizonazo ni kuwa kila baada ya miezi miwili lazima operesheni
hiyo itekelezwe.
Je, kwa hali hii tutafika?
Nawasilisha.