ipo haja vyuo vya private navo viunde tume yakudahili maana kwa haya madudu wanayofanya tcu siyo fair kabisa hao wanafunzi 8000 inamaana pesa yao imeliwa ..........
ipo haja vyuo vya private navo viunde tume yakudahili maana kwa haya madudu wanayofanya tcu siyo fair kabisa hao wanafunzi 8000 inamaana pesa yao imeliwa ..........
Kampala hakina competition, ni point zako 4 na pochi ya kueleweka tu! Kwa kozi za afya ni 4.5 na pochi yako tu! Halafu nafasi zao za second round ni nyingi kuliko za first round!
ipo haja vyuo vya private navo viunde tume yakudahili maana kwa haya madudu wanayofanya tcu siyo fair kabisa hao wanafunzi 8000 inamaana pesa yao imeliwa ..........
Hii ni dalili ya watu kutozingatia vigezo vilivyowekwa. Unaishia kupoteza 50000/= na huenda nafasi ya kuomba program uliostahili. Ni dhahiri hii CAS haijaribiwi.