Vitoto vya Kanji vinazidi kunenepa 🤣🤣🤣 maskini Waya mkali anawaza atajilike kwa kusuka mikeka matokeo yake mtu anaweka mkeka Timu 20 wenyewe wanaita behewa,
anaweka jero ili apate laki kitu ambacho ni ngumu kutusua🤣🤣🤣
Si Bora were..unamshabikia Argentina wapi na wapi. Yaani Argentina anaajua kuhusu Africa,? Bora useme umeshabikia Argentina baada ya Brazil kutoka pia havina uhusiano.