Ufahamu kuhusu Majini

Ufahamu kuhusu Majini

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu hili suala la majini, hivi ni viumbe gani? visivyoonekana? Je majini yana zaliana kama binadamu na yanakufa? Nini hasa chanzo cha hawa viumbe majini? tujuzane wakuu
 
Ngoja faiza fox aje ana undugu na hii midude aje akudadavuvulie kwa kina
wakuu hili suala la majini, hivi ni viumbe gani? Visivyoonekana? Je majini yana zaliana kama binadamu na yanakufa? Nini hasa chanzo cha hawa viumbe majini? Tujuzane wakuu
 
Majini ni viumbe vilivyoumbwa na mwenyezimungu ili vije kumuabudu kama binadamu,jini aliye asi anaitwa shetani ni kama kwa binadamu mwizi na vibaka.Majini hatuwaoni sisi wanadamu ila mbwa na punda wanawaona.Ila jini anatuona sisi bali sisi hatumuoni.Ndio majini wanazaliana na idadi yao ni wengi zaidi ya binadamu,vilevile majini wanakufa ila wanaishi miaka mingi sana zaidi ya miaka 4000 wengine wanaishi na kuna baadhi yao wamewaona mitume waliotangulia.
 
Wakuu hili suala la majini, hivi ni viumbe gani? visivyoonekana? Je majini yana zaliana kama binadamu na yanakufa? Nini hasa chanzo cha hawa viumbe majini? tujuzane wakuu

Wapo waliobobea katika madude hayo utawaona wanavaa mipete mingi mikononi. Hao ndiyo wanajua vizuri maana nasikia wanayaabudu if not kuyategemea.
 
Majini ni viumbe vilivyoumbwa na mwenyezimungu ili vije kumuabudu kama binadamu,jini aliye asi anaitwa shetani ni kama kwa binadamu mwizi na vibaka.Majini hatuwaoni sisi wanadamu ila mbwa na punda wanawaona.Ila jini anatuona sisi bali sisi hatumuoni.Ndio majini wanazaliana na idadi yao ni wengi zaidi ya binadamu,vilevile majini wanakufa ila wanaishi miaka mingi sana zaidi ya miaka 4000 wengine wanaishi na kuna baadhi yao wamewaona mitume waliotangulia.

This sounds too idealistic
 
Foxy wapi yeye namuamini kwakuwa hanayo


Swissme
 
Majini ni Roho kama Malaika. Moja ya Ushahidi wao ni pale mtu anapokua na uwezo wa kuongea lugha asio ijua kwa ufasaha kabisa. Hiyo nimeshuhudia Rafiki yangu akiongea kimasai fasaha kabisa bila yeye kujua anaongea nini baadae.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom