Mtafutaji Asiyechoka
Member
- Feb 15, 2021
- 72
- 82
Wakuu habari zenu, Mimi kama kijana mpambanaji nlikutana na tangazo moja nikaaply kama kawaida. Wale watu wakanijibu kwa email kuwa Kuna interview mbili na ya kwanza ni kujaza Staff assessment form na kusubmit Psychrometric Analysis Test Report (PAR). Hapo kwenye PAR ndio kwenye mtihani kwa sababu lazima ulipe pesa hata kama utafanyiwa na sehemu nyingine wasiohusiana na kampuni!
Kwa aliyewahi kukutana na hii kitu naomba aniambie mbivu na mbichi tafadhali
Kwa aliyewahi kukutana na hii kitu naomba aniambie mbivu na mbichi tafadhali