Habari za usiku ndugu zanguni,,,
Ngoja niende direct to the point.
Nataka kuwekeza kwenye bodaboda ila ni buashara ambayo sijawahi kumfanya wala kuiwaza.
Kuna jamaa mmoja kanishawishi ninunue pikipiki yeye ataniunganisha na dereva. Kila wiki nakula 70. Mkataba ni mwaka mmoja. Naomba yeyote mwenye utaalam na hii biashara anisaidie.
Sent using
Jamii Forums mobile app