UEFA imetangaza mabadiliko kadhaa katika Michuano ya Klabu Bingwa na EUROPA kuanzia msimu ujao

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
2,036
3,929
Shirikisho la soka barani Ulaya(UEFA) limethibitisha kwamba timu za soka zinaweza kuweka majina 12 ya wachezaji wa ziada kwenye mechi za fainali za Ligi ya Mabigwa(UEFA Champions), Ligi ya EUROPA na Super Cup. Kwa sasa idadi hiyo ni wachezaji 7

uefa.jpg

Aidha, katika sheria hiyo mpya ambayo itaanza kutumia msimu ujao wa soka, timu zitaweza kufanya mabadiliko mara nne katika hatua ya mtoano ya michuano, huku badiliko hilo la nne likiruhusiwa wakati wa dakika za nyongeza

Timu zitaruhusiwa kusajili wachezaji wapya watatu kwenye michuano hiyo baada ya hatua ya makundi kumalizika. Ikimaanisha mchezaji anaweza kuchezea timu moja wakati wa hatua ya makundi halafu akasajili na timu nyingine(kwenye dirisha la usajili) na timu hiyo kumsajili UEFA kucheza katika hatua ya mtoano

Pia katika UEFA mechi zake zote zitakuwa zinachezwa muda wa 8pm GMT (kwa Tanzania: saa 4:00 usiku majira ya joto, saa 5:00 usiku majira ya baridi)

Katika michuano ya michuano ya EUROPA hatua ya makundi mpaka 16 bora mechi zitakuwa zinaanza saa 5:55pm GMT na 8pm GMT(Kwa Tanzania; 1:55 usiku na 4:00 usiku majira ya joto, 2:55 na 5:00 majira ya baridi). Michezo ya robo, nusu na fainali itachezwa saa 8pm GMT (kwa Tanzania: saa 4:00 usiku majira ya joto, saa 5:00 usiku majira ya baridi)
======

UEFA have confirmed teams can name 12 substitutes on the bench in the final of Champions League and Europa League matches.

The new rules, which will come into action next season, also state that teams can use a fourth substitute in extra-time during the knockout stages.

European football's governing body announced on Wednesday it would up the current quota of substitutes from seven to 12 in Champions League final, Europa League final and UEFA Super Cup

The new rules also state a fourth substitute can be used in extra time during knockout stages

Clubs may register three new eligible players without any restrictions following the Champions League and Europa League group stages, which is in line with many current domestic league legislatures.

In essence, this means you can play for one team in the group stages and then switch allegiances in the knockout rounds and turn out for another side.

Champions League play-offs, group-stage games, round-of-16 matches, quarter-finals, semi-finals and the final have also been changed to 8pm GMT – 15 minutes later than they are now.

Europa League matches from the group stage until round-of-16 matches will kick off at 5.55pm and 8pm GMT. Games from the same group will be played at the same time. Quarter-finals, semi-finals and final will all kick off at 8pm.

The UEFA Super Cup will kick-off at 8pm, which already applies to this year's final on August 15 at Tallinn's Lillekula Stadium in Estonia.

The Europa League will also follow in the footsteps of the Champions League, allowing teams to don a multiple-winner badge if they have won the competition (or the former UEFA Cup) three times in a row or five times in total.

As it stands, Sevilla will be the only team eligible to do so having won the competition five times.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom