Wanafika ila sio active kwa maana ya kulipia mara kwa mara.Tafuta pesa mkuu upunguze mawazo yasiyo kamilika
Unataka kusema ata waonesha mpira wa vibandani hawafiki mia tano tanzania nzima
Hebu acha kunitingisha ninaangalia aircrash investigation now jamaa wa NTSB vipanga wameitwaSijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu
Wanafika ila sio active kwa maana ya kulipia mara kwa mara.
.
Mimi pesa nitafute za nini umri umeshanitupa mkono nimezisaka ujanani huko tafuteni nyie nakula pensheni yangu tu ila madish sijaacha kufunga
Sasa unakaa chang'ombe huko kwa wanyonge utaonaje watumiaji wa dstv? Hebu pita hapa njia panda ya Area D kama unaenda Royal village utaona vijana wa dstv wanapiga helaMia tano Tanzania nzima ambayo yako active kwa maana wanayalipia wenye nayo.
.
Mimi namalizaga hata miezi sita sijalipia sasa mimi ni mteja active au mteja hewa?
Alafu hawana hata wateja wengi sasa kwa taarifa yako dealers wa visimbuzi najuana nao sana kwa sababu ni sehemu ya kazi yangu
Dodoma yani ukitaka udodewe na biashara nunua DSTV ukitaka uuze nunua Azam
Chang'ombe ulinipeleka wewe?Sasa unakaa chang'ombe huko kwa wanyonge utaonaje watumiaji wa dstv? Hebu pita hapa njia panda ya Area D kama unaenda Royal village utaona vijana wa dstv wanapiga hela
Miatano ni huko unakoishi ama Tanzaniana mzima?
Mzee mimi sitaniii ufundi wa madish nimeanza kuufanya toka nikiwa kijana mdogo uhuni wa kuchezea hivi vidude naufanya hadi kesho.Iyo pensheni gani unashindwa lipia ata kifurushi cha 84,000
Sasa wanafika na sio active kivipi wakati ndio biashara yao?sawa na useme mangi anauza ila hanunui mzigo
😂😂😂😂 ndani ya National Geographic sawa mzee.Hebu acha kunitingisha ninaangalia aircrash investigation now jamaa wa NTSB vipanga wameitwa
Tafuta pesa mkuu upunguze mawazo yasiyo kamilika
Unataka kusema ata waonesha mpira wa vibandani hawafiki mia tano tanzania nzima
Mia tano Tanzania nzima ambayo yako active kwa maana wanayalipia wenye nayo.
.
Mimi namalizaga hata miezi sita sijalipia sasa mimi ni mteja active au mteja hewa?
Alafu hawana hata wateja wengi sasa kwa taarifa yako dealers wa visimbuzi najuana nao sana kwa sababu ni sehemu ya kazi yangu
Dodoma yani ukitaka udodewe na biashara nunua DSTV ukitaka uuze nunua Azam
Mzee mimi sitaniii ufundi wa madish nimeanza kuufanya toka nikiwa kijana mdogo uhuni wa kuchezea hivi vidude naufanya hadi kesho.
.
Mwaka huu toka uanze nimefunga DSTV 3 ila Azam mwezi hui tu nimefunga 18 84 elfu ni pesa nyingi sanaaa kwa mTanzania wa kawaida hawezi kuimudu wengi hata hao active wanalipia Bomba wakilipia zaidi ya hapo familia itaanza kula mlo mmoja.
.
Bei ya DSTV kwa sasa ni 79K kifurushi cha kuvutia zaidi 84K hii ni akili au matope?
Mtumishi wa kawaida mwenye mshahara wa laki nne-tano unadhani ataiweza?
.
DSTV zipo sana kwenye vibanda umiza na sehemu kama bar hivi na mahotel nako replacement ameanza kuwa Azam hahahaha siku akija Kwèse ndio kifo cha DSTV rasmi kitakuwa kimefika
Nimemshangaa huyu jamaa sijui ni umaskini au ujinga?
Mzee mimi sitaniii ufundi wa madish nimeanza kuufanya toka nikiwa kijana mdogo uhuni wa kuchezea hivi vidude naufanya hadi kesho.
.
Mwaka huu toka uanze nimefunga DSTV 3 ila Azam mwezi hui tu nimefunga 18 84 elfu ni pesa nyingi sanaaa kwa mTanzania wa kawaida hawezi kuimudu wengi hata hao active wanalipia Bomba wakilipia zaidi ya hapo familia itaanza kula mlo mmoja.
.
Bei ya DSTV kwa sasa ni 79K kifurushi cha kuvutia zaidi 84K hii ni akili au matope?
Mtumishi wa kawaida mwenye mshahara wa laki nne-tano unadhani ataiweza?
.
DSTV zipo sana kwenye vibanda umiza na sehemu kama bar hivi na mahotel nako replacement ameanza kuwa Azam hahahaha siku akija Kwèse ndio kifo cha DSTV rasmi kitakuwa kimefika
Unataka kuleta dharau sasa kisa nimekwambia nafungaga madish?Sasa kumbe unatambua dstv ipo ila kupotosha kwako unasema haifiki 500 kwa active watumiaji
Dstv kifurushi cha 84,000 watanzania wengi wana mudu sema mimi ndio siwezi mudu iko kifurushi...afu kumbe ni fundi dish unapatikania wapi nikupe kazi
Unataka kuleta dharau sasa kisa nimekwambia nafungaga madish?
Hii kazi nimeanza toka na miaka 15.
.
Nimetumia kigezo cha kufunga madish ili nieleweke haraka nipe kazi hiyo nije nifunge na sio kwamba sina uwezo wa kulipia 84K nitazame UEFA mimi naangalia bure sijawahi kulipia hata thumni.
.
Nina kisimbuzi ambacho napata channels zote hizo zako unazolipia 84 mimi napata bure za Azam napata bure startimes ndio hadi wakinikamata watanifungulia kesi ya uhaini
Nionyeshe nilipolalamika kuhusu bei kubwa kwamba nashindwa kulipia.Unajidharau wewe na kazi yako ,kuamisha dish na kufunga upya una charge shilingi ngapi na unapatikana wapi?
Sasa kama unapata bure mbona unakuja kulalamika sasa huku kwa mtandao kwamba vifurushi ni bei