AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Ni wimbo mzuri sana kila nikiusikia nakumbuka fainali ya mwaka 1999 Manchester United na Beyern Munich dakika 89 Beyern bado wanaongoza bao moja Baby face akasawazisha dakika za nyongeza Teddy akatupia bao la pili hii ndiyo ilikuwa fainali bora zaidi kuwahi kutokea nyingine zote ushuz.iiiii mtupu.
Mwaka huu Man itafika fainali na kuchukua ndoo hatuna haja ya kukamata nafasi ya nne EPL
Copy Wacha1 Nzi