Heshima kwenu wadau.
Jamani huu wimbo nikiusikia huwa unanikumbusha fainali ya Liver na Milan 2004. Wewe mdau huwa unakukumbusha fainali ipi?
Mwenye clips ya huu wimbo naomba anisaidie ntashukuru.
Pia ntafurahi nkipata kujua mtunzi wake ni raia wa wapi.
Asanteni wadau.
Jamani huu wimbo nikiusikia huwa unanikumbusha fainali ya Liver na Milan 2004. Wewe mdau huwa unakukumbusha fainali ipi?
Mwenye clips ya huu wimbo naomba anisaidie ntashukuru.
Pia ntafurahi nkipata kujua mtunzi wake ni raia wa wapi.
Asanteni wadau.