UDSM selection

UDSM selection

Ingia kwenye account yko utakuta kama umechaguliwa au la kuna ujumbe umo
 
Iv kwa wal 2liyo apply udsm p3kee it means ha2jpata multiple 2najuaje kama nimechagulw?
 
Kwny iyoo list mm sipo xx cjajua kama nimepata ama veeep?

Mkuu hiyo nilimuwekea Jemadari mwingine aliye ulizia.
Kwa upande wako nasikia unatakiwa uingie UDSM kwenye account yako, halafu utafute selection status yako na ndio utajua kama umepata au wapi. Sijaona orodha ya wale wenye single selection kwa UDSM.
 
Mkuu hiyo nilimuwekea Jemadari mwingine aliye ulizia.
Kwa upande wako nasikia unatakiwa uingie UDSM kwenye account yako, halafu utafute selection status yako na ndio utajua kama umepata au wapi. Sijaona orodha ya wale wenye single selection kwa UDSM.
Okay hp nimekupata vzr
 
Okay hp nimekupata vzr
Wametoa list zote mbili za multiple na za wale waliochaguliwa kabisa ziko kwenye web site yao. udsm.ac.tz halafu ingia Announcements utakuta majina ya Mlimani, DUCE na MUCE.
 
Wametoa list zote mbili za multiple na za wale waliochaguliwa kabisa ziko kwenye web site yao. udsm.ac.tz halafu ingia Announcements utakuta majina ya Mlimani, DUCE na MUCE.
Mbna ukifungua mliman campus inakupeleka kwnye majina ya DUCE wakt mi nataka kuona ya UDSM??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom