Watu wanashauri wasioyoyajua. Kwanza kabisa dunia ya siku hizi swala la program moja kama zamani linapotea. Mfano bachelor of accounting peke yake au bachelor of finance, haya mambo yanapotea na nashangaa kwanini UD hawabadiliki. Siku hizi unakuta programs kama bachelor of accounting and IT, accounting and finance, finance and economics etc. Kuna mzungu mmoja niliona ana degree of accounting, finance and money. Huko ndio dunia inakoelekea sasa. Nakushauri nenda mzumbe ukafanye BAF, ukimaliza chukua CPA. utakuwa una accounting and finance na utakuwa na advantage kuliko yule mwenye accounting peke yake. Chukua huu ushauri hutojuta. Hapo ukiwa na finance means hata kazi za economics pia utafanya