Udsm-kuna ugumu gani kama mngeweka hzo admission letters kwenye website yenu?

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Inashangaza hawa jamaa wao wanasema eti admission letters znachukuliwa chuon,kwan kulikua kuna ugumu gani kama mngeziweka kwenye mtandao ili kila mtu aweze kuzipata kiurahc kama vyuo vingne walivyofanya?wengine huku inatuwia vigumu kujua ni kiasi gani cha pesa tunazotakiwa kuja nazo hapo mjini bana!
 
Inashangaza hawa jamaa wao wanasema eti admission letters znachukuliwa chuon,kwan kulikua kuna ugumu gani kama mngeziweka kwenye mtandao ili kila mtu aweze kuzipata kiurahc kama vyuo vingne walivyofanya?wengine huku inatuwia vigumu kujua ni kiasi gani cha pesa tunazotakiwa kuja nazo hapo mjini bana!
admission letter kuwekwa mtadaoni unaamanisha nini..?
maana ile inakuwa na reference amabyo mara nyingi ndio admission namba yako .. kuhusu gharama zote zinahusika ziko kwenye tangazo la kufungua chuo nazipatikan kwenye hiyo website unayosema
vinginevyo sijakuelewa ila ADMISSION LETTERS ni kwa individual either wakutumia kwa njia ya posta au email na hii naona wao wanaona ni usumbufu ukifika wanakupa barua yako halafu unaanza process za registration .. admission letter mwanzoni ndio kitambulisho chako
 
Inashangaza hawa jamaa wao wanasema eti admission letters znachukuliwa chuon,kwan kulikua kuna ugumu gani kama mngeziweka kwenye mtandao ili kila mtu aweze kuzipata kiurahc kama vyuo vingne walivyofanya?wengine huku inatuwia vigumu kujua ni kiasi gani cha pesa tunazotakiwa kuja nazo hapo mjini bana!

Waungwana tujitahidi masuala mengine tuwe tunauliza kwanza,sasa admission letter waweke vipi kwenye mtandao. Hiyo barua ndiyo itakuongoza mpaka kufanyiwa usajili hapo chuoni. Kama ushaona jina lako mtandaoni nenda chuo kachukue barua.
 
Waungwana tujitahidi masuala mengine tuwe tunauliza kwanza,sasa admission letter waweke vipi kwenye mtandao. Hiyo barua ndiyo itakuongoza mpaka kufanyiwa usajili hapo chuoni. Kama ushaona jina lako mtandaoni nenda chuo kachukue barua.

mkuu,me niko mkoani.alafu kwan zle barua ambazo anatumiwa mwanafunz kwa ajili kuambiwa kuwa kawa admitted zenye maelezo ya ada inayotakiwa na michango mingne pamoja na ile medical form huwa znaitwaje?
 
admission letter kuwekwa mtadaoni unaamanisha nini..?
maana ile inakuwa na reference amabyo mara nyingi ndio admission namba yako .. kuhusu gharama zote zinahusika ziko kwenye tangazo la kufungua chuo nazipatikan kwenye hiyo website unayosema
vinginevyo sijakuelewa ila ADMISSION LETTERS ni kwa individual either wakutumia kwa njia ya posta au email na hii naona wao wanaona ni usumbufu ukifika wanakupa barua yako halafu unaanza process za registration .. admission letter mwanzoni ndio kitambulisho chako

ok,nimekupata mkuu!
 
Maprofesa wazee wanaenzi enzi zao, ngoja nanihii astahafu ndio tutaingiza kwenye mtandao
 
mkuu,me niko mkoani.alafu kwan zle barua ambazo anatumiwa mwanafunz kwa ajili kuambiwa kuwa kawa admitted zenye maelezo ya ada inayotakiwa na michango mingne pamoja na ile medical form huwa znaitwaje?

Joining Instructions,inakuwa attached na admission letter. Pole sana
 
Back
Top Bottom