UDSM hili linawahusu!

Wanafunzi wa UDSM hasa Engineering na Law , Tangu wanapoingia mwaka wa kwanza mpaka wanamaliza , wanakuwa wamekula kama unavyoona.

View attachment 3660501
UDSM nilisoma miaka 4 baada ya kumaliza kuna vyakula sikuweza kula miaka mingi sana
1.chapati
2.mihogo
3.Wali maharage -mpaka leo sipendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…