UDOM wameanza kupokea application za cheti na diploma 2016/2017

UDOM wameanza kupokea application za cheti na diploma 2016/2017

Kwenda youdomu kwa sasa ni kumbip ba je.skai hataki hii mambo mbona hamwelewi?
Ombeni kupitia nacte over
 
Hii inawahusu form six 2016 wasio na sifa za kwenad vyuo vikuu,kuna kozi nzuri nzuri sana kama pharmacry etc.

BONYEZA HAPA KUAPPLY
Hawa jamaa sijaelewa, muongozo si unawataka wanafunzi wote wapply kuptia NACTE, inakuwaje huyu UDOM naye anatangaza udahili wake, mbaya zaid nimeingia kwenye CAS yake ana demand ulipe kwanza ndio uweze kufanya app, hili ni jipu.

Ndalichako tumbua na hilo
 
hlo jpu ltatumbuliwa system ya udahil lazm iptie nacte kurupuka uone xx #hapkaztu
 
mi mwenyewe nilitaka kuomba ila naofia kutumbuliwa badae, kwanza vigezo walivyoweka mbona simple sana xo nawasiwasi maana sikuizi Dhaaaaaaaa. Acha tu. Simple badae inakua COMPLEX
Koz ni science tu?
 
Back
Top Bottom