Brother James
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 233
- 172
- Thread starter
- #21
Bible,
Kwanza nikupongeze kuchaguliwa ktk Chuo Cha UDOM ila kwa sababu ww bado mchanga ktk mambo haya basi sikiliza ujumbe then go and do research kabla hujafikiria kujibu...Prospectus ni mfano tu wa mambo ambayo hayatekelezwi kwa wakati, Nimefanya hivi ili ukaikute UDOM bora tena iliyojirekebisha katika nyanja tuzizungumzazo. Ulisikia wapi mtu akakosoa nyumbani kwao bila kuona uwezekanao wa kuparekebisha....Tambua kuwa naipenda sana UDOM ya jana leo na kesho.
Mada yangu ilikuwa inaomba msaada wa Prospectus ya 2013/2014, kama umeiona tafadhali naomba link yake ili niifuate coz hapa www.udom.ac.tz sijaiona kwa kweli...please friend nitupie hapa kati......OVER
Kwanza nikupongeze kuchaguliwa ktk Chuo Cha UDOM ila kwa sababu ww bado mchanga ktk mambo haya basi sikiliza ujumbe then go and do research kabla hujafikiria kujibu...Prospectus ni mfano tu wa mambo ambayo hayatekelezwi kwa wakati, Nimefanya hivi ili ukaikute UDOM bora tena iliyojirekebisha katika nyanja tuzizungumzazo. Ulisikia wapi mtu akakosoa nyumbani kwao bila kuona uwezekanao wa kuparekebisha....Tambua kuwa naipenda sana UDOM ya jana leo na kesho.
Mada yangu ilikuwa inaomba msaada wa Prospectus ya 2013/2014, kama umeiona tafadhali naomba link yake ili niifuate coz hapa www.udom.ac.tz sijaiona kwa kweli...please friend nitupie hapa kati......OVER
Mbona kila kitu kipo net tatizo umejaa lawama kwel Udom hutmaliz kijna,prospectus zipo funguo web ya chuo mbona mim nimeona kila kitu,uzuri wa chuo ni wew cio jina la chuo,punguzen lawama kila cku lawama na Div 1 naenda kusom tu hata mponde