Wadau kule udom interview za nafasi mbali mbali zinaendelea usiku na mchana!!!
Amini usiamini son of peasant naye kapigiwa simu kwenda kuchapa interview ya admin. Officer lkn habari chini ya kapeti zinasema udsm hakuwepo hata mmoja kwenye hiyo makitu!!! Sasa mimi nashindwa kujua imekuwaje au wanaogopa challenge, lkn wajue vijana wachuo kile wameiva sana sisi tunao watumia ndio tunajua uzuri wao, msiogope ufaulu wao mdogo wapeni kazi muone mziki wake!!
Poleni udsm..... Kazeni buti nyinyi ni vichwa.
Amini usiamini son of peasant naye kapigiwa simu kwenda kuchapa interview ya admin. Officer lkn habari chini ya kapeti zinasema udsm hakuwepo hata mmoja kwenye hiyo makitu!!! Sasa mimi nashindwa kujua imekuwaje au wanaogopa challenge, lkn wajue vijana wachuo kile wameiva sana sisi tunao watumia ndio tunajua uzuri wao, msiogope ufaulu wao mdogo wapeni kazi muone mziki wake!!
Poleni udsm..... Kazeni buti nyinyi ni vichwa.