Ndiyomaana unakuta first year wengi kutoka mikoa kama Morogoro nakwongineko wanalazimika kwenda UDOM utawala mkuu kwa lengo lakuchukua fomu za joining instructions,hii yote yawezekana nikwasababu ya wao UDOM kutopokea simu nakutolea ufafanuzi mambo madogadogo kama hayo ambayo yangetatuliwa huku wahusika wakiwa makwao kwa suala la fomu za joining instructions zimo kwenye mtandao hivyo nikwamba first years wengine hawajui.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.