hahahahahaha! kumbe 2po weng ila hatujuani? lets keep on waiting..chek me 0652039808 tupeane updates!wale wa 1st round nao wanavyotuchefua,,,,kila mda wanaulizana mambo ya chuo,kwenda kulipa ada,kureport sijui admission leter washachukua...wanaendelea kutunanilii.mtu ukikaa kila mara ni kuangalia profile mda network ikisumbua kidogo unahisi kujikojolea
hahaha duuhTulieni vijana bado wiki mbili mtaingia tu kwenye system
kutafutiwa nini? umeelewa concept yangu lakini?
Hiyo siyo admission letter, admission letter inakuwa na jina lako ni barua yenye maelezo bila hiyo hupokelewi udom
Direct costs n gharama zipi?? Znahusu nn??
Afu sorry hela y kulipia hostel mbna hawajaonesha km unajua kias msaada pls