mzanganyika
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 257
- 6
YKubali ama ukatae Rais wetu amejitahidi sana kuingiza watu wa dini yake kwa wing ktk u DC, japo stil bado zipo jitihada kumkemea ktk hili, tuje ktk uteuzi wa majaji,uteuz wa wakuu wa mikoa, uteuzi wa viongoz wa usalama ktk nafasi nyeti, uteuzi watu muhimu ktk nafasi muhimu, Rais wetu udini umemtawala kwa siri sana.
TumainEL,
Kule shule ya msingi mwalimu wako wa IMLA alisahahu kukufundisha "paragraph". Umeandika kama vile unawahi basi la Mwenge - Mbagala. Insha yako inatia uvivu kuisoma
..mh!, ni afadhali yeye wa siri kuliko wewe wa dhahiri. Mada kama hizi zinafaida gani??