Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,103
- 128,723
Wanabodi,
Hii thread ya swali moja tuu kuhusu dhana ya udikiteta Tanzania, Jee huu Udikiteta unaozungumzwa sana sasa hadi baadhi ya watu wanataka kujenga UKUTA, upo kweli in reality au ni dhana tuu ya kufikirika?.
Hapa swali la msingi ni jee huu udikiteta unaozungumzwa nchini Tanzania ya leo, ni kweli upo na una exist in reality au ni uzushi tuu wa jambo la kufikirika tuu ndani ya mind za watu waliofilisika kisiasa baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa wana zusha dhana za kizushi ili tuu kujifariji na kipigo cha kwenye sanduku la kura?.
Tangu baada ya kuibuka kwa dhana ya udikiteta nchini Tanzania, nimeanza kushuhudia baadhi ya watu na taasisi zikianza kutoa matamko na kauli za kujiumauma kuhusu udikiteta, huku wengine wakitoa kauli za kujikombakomba, wengine wakiongea kwa uoga uoga kuhusu huu udikiteta, huku wengine wakiamini Tanzania tuko kwenye udikiteta na wengine wakisema hakuna udikiteta Tanzania , ali mradi kila mtu anasema lwake!, hivyo ili kumaliza ubishi, naomba kibali chenu tumfufue kidogo Baba wa Taifa, hili, Mwalimu Nyerere tumuulize "jee kiongozi mwenye udikiteta ni mtu mwenye tabia gani?".
Msome Mwalimu...
Tena Mwalimu Nyerere, hakuishia hapo, bali alizungumza kama Nabii, kuhusu huu udikiteta unaozungumzwa, hebu msikilize hapa akiitabiria Tanzania kuja kuwa under dictotorship
Sasa ni kama huu unabii umetimia...
Baada ya kumsoma na kumsikia Baba wa Taifa Mwal. Nyerere akiuzungumzia udikiteta, sasa nafanya hojaji kupitia dodoso. Chagua moja.
(a) Ni kweli Tanzania tunanyemelewa na udikiteta!
(b) Ni kweli, na sio Tanzania tunanyemelewa na udikiteta, bali udikiteta tayari upo nchini mwetu in reality.
(c) Sii kweli Tanzania hakuna udikiteta wowote bali ni dhana tuu ndani ya mawazo ya waliofilisika kisiasa.
(d)I reserve my comments!.
Namalizia kwa lile swali la msingi, Jee huu Udikiteta unaozungumzwa sana hadi watu wanataka kujenga UKUTA, upo kweli au ni Dhana Tuu?!
Je, udikiteta huu ni jambo la kufikirika tuu au upo for real?.
Paskali.
Rejea.
Kama una muda, pitia hizi baadhi ya nyuzi kuhusu udikiteta.
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ...
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Ushauri Kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...
Hii thread ya swali moja tuu kuhusu dhana ya udikiteta Tanzania, Jee huu Udikiteta unaozungumzwa sana sasa hadi baadhi ya watu wanataka kujenga UKUTA, upo kweli in reality au ni dhana tuu ya kufikirika?.
Hapa swali la msingi ni jee huu udikiteta unaozungumzwa nchini Tanzania ya leo, ni kweli upo na una exist in reality au ni uzushi tuu wa jambo la kufikirika tuu ndani ya mind za watu waliofilisika kisiasa baada ya kushindwa kwenye sanduku la kura kwenye uchaguzi huru na wa haki, sasa wana zusha dhana za kizushi ili tuu kujifariji na kipigo cha kwenye sanduku la kura?.
Tangu baada ya kuibuka kwa dhana ya udikiteta nchini Tanzania, nimeanza kushuhudia baadhi ya watu na taasisi zikianza kutoa matamko na kauli za kujiumauma kuhusu udikiteta, huku wengine wakitoa kauli za kujikombakomba, wengine wakiongea kwa uoga uoga kuhusu huu udikiteta, huku wengine wakiamini Tanzania tuko kwenye udikiteta na wengine wakisema hakuna udikiteta Tanzania , ali mradi kila mtu anasema lwake!, hivyo ili kumaliza ubishi, naomba kibali chenu tumfufue kidogo Baba wa Taifa, hili, Mwalimu Nyerere tumuulize "jee kiongozi mwenye udikiteta ni mtu mwenye tabia gani?".
Msome Mwalimu...
Tena Mwalimu Nyerere, hakuishia hapo, bali alizungumza kama Nabii, kuhusu huu udikiteta unaozungumzwa, hebu msikilize hapa akiitabiria Tanzania kuja kuwa under dictotorship
Sasa ni kama huu unabii umetimia...
Baada ya kumsoma na kumsikia Baba wa Taifa Mwal. Nyerere akiuzungumzia udikiteta, sasa nafanya hojaji kupitia dodoso. Chagua moja.
(a) Ni kweli Tanzania tunanyemelewa na udikiteta!
(b) Ni kweli, na sio Tanzania tunanyemelewa na udikiteta, bali udikiteta tayari upo nchini mwetu in reality.
(c) Sii kweli Tanzania hakuna udikiteta wowote bali ni dhana tuu ndani ya mawazo ya waliofilisika kisiasa.
(d)I reserve my comments!.
Namalizia kwa lile swali la msingi, Jee huu Udikiteta unaozungumzwa sana hadi watu wanataka kujenga UKUTA, upo kweli au ni Dhana Tuu?!
Je, udikiteta huu ni jambo la kufikirika tuu au upo for real?.
Paskali.
Rejea.
Kama una muda, pitia hizi baadhi ya nyuzi kuhusu udikiteta.
Yajue Makundi 10 Top Ten wa CCM, Ambamo Watatoa Top 5, Top 3 na ...
Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ...
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Katazo la Rais Kusafiri Nje ya Nchi bila Vibali: Je, Halikiuki ...
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's ...
Je, Huu Sio Uvunjaji wa Haki Za Msingi za Binaadamu Unaofanywa ...
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...
Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...
Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...
Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote
Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...
Ushauri Kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane ...