andernormans
Member
- Apr 13, 2010
- 64
- 11
Hivi kweli vilabu vyetu vinanufaika na style hii ya udhamini wa hawa wawekezaji kweli ndugu zangu..??? Menadhani faida wanayoipata Voda in return ni kubwa kuliko hili changa la macho zinalopigwa timu zetu... Ni mawazo yangu tu lakini wadau...