Kwa shida ya usafiri wa hayo magari ninayoisikia huko, sitaki kuamini lama kuna magari 250 barabarani yanayotoa huduma kwa wananchi. Kama kweli magari hayo yapo barabarani then kuongeza hayo 70 kwa ajili ya kutatua changamoto iliyopo ni upuuzi mwingine ulio zoeleka