shasa shamer
New Member
- Feb 21, 2019
- 4
- 0
udom wanasema wamefungua udahili lakini ukiingia kujisajiri unapata account tu, na vingine vyote haviwi active kama kulipia kwa simu n.k sjui kwanini
Hata na mimi nimeliona hilo nimewapigia kwa namba za help desk wakaniambia wameruhusu Ku apply kuanzia 24/06/2019 lakini ukiingia inasumbuaudom wanasema wamefungua udahili lakini ukiingia kujisajiri unapata account tu, na vingine vyote haviwi active kama kulipia kwa simu n.k sjui kwanini
Au pengine hadi nacte wafungue dirisha la usajiri ndo na wao wataziweka link active kusudi kulipia hiyo buku 10 ya usajiri. Unajua nacte bado hawajafungua dirisha. Em tusubiri.Hata na mimi nimeliona hilo nimewapigia kwa namba za help desk wakaniambia wameruhusu Ku apply kuanzia 24/06/2019 lakini ukiingia inasumbua