EL Team 2015
Member
- Aug 31, 2014
- 61
- 51
Ndugu ,Watanzania baada ya shughuli nyingi za kisiasa ni muda muafaka sasa kwa sisi kwa umoja wetu kurudi na kuendelea kufanya kazi ili kuimarisha uchumi wetu.
Uchumi wetu kwa maana ya MTU mmoja mmoja na kaya kwa ujula wake . Uchumi imara utatupa nguvu ya kimaamuzi na maendeleo ya kisiasa na kisera .
Tumezungunzia Suala la Elimu ,Elimu ,Elimu wakati tukiomba kura hiki ni kipindi kingine ambacho tunapaswa kuangalia mustakabali wetu na taifa letu kiuchumi.
Nimeona kwamba kwa sasa kuna vijana wengi wasomi na ambao kweli hawakua na fursa ya Elimu itakaowawezesha kuajiriwa kwenye white color jobs. Ila ni jukumu letu kwa pamoja kuangalia fursa zilizopo na kuanza kuzifanyia kazi kwa kuleta maendeleo ya pamoja .
Katika hili nimeonelea kuleta wazo tofauti kidogo baada ya Shule za kata ninafikiri ni muda sasa Wa kuangalia jinsi kila kata itakavyoweza kuwa na kiwanda na jinsi ya kukiendeleza .
Hili litaangaliwa kwa kuandaa michanganua ya maligafi zinazopatikana sehemu husika na kwa Tanzania yetu kila sehemu kuna maligafi inayopatikana kwa mfano sehemu zinazolimwa miwa kwa wingi kama sio kiwanda cha sukari basi watu wanaweza kujiunga na kuwa na viwanda vidogovidogo vya kukamua juice ya miwa na kuipaki vizuri kibiashara na itakua na tija kwenye kuzalisha ajira na kukuza uchumi Wa taifa letu.
Uchumi wetu kwa maana ya MTU mmoja mmoja na kaya kwa ujula wake . Uchumi imara utatupa nguvu ya kimaamuzi na maendeleo ya kisiasa na kisera .
Tumezungunzia Suala la Elimu ,Elimu ,Elimu wakati tukiomba kura hiki ni kipindi kingine ambacho tunapaswa kuangalia mustakabali wetu na taifa letu kiuchumi.
Nimeona kwamba kwa sasa kuna vijana wengi wasomi na ambao kweli hawakua na fursa ya Elimu itakaowawezesha kuajiriwa kwenye white color jobs. Ila ni jukumu letu kwa pamoja kuangalia fursa zilizopo na kuanza kuzifanyia kazi kwa kuleta maendeleo ya pamoja .
Katika hili nimeonelea kuleta wazo tofauti kidogo baada ya Shule za kata ninafikiri ni muda sasa Wa kuangalia jinsi kila kata itakavyoweza kuwa na kiwanda na jinsi ya kukiendeleza .
Hili litaangaliwa kwa kuandaa michanganua ya maligafi zinazopatikana sehemu husika na kwa Tanzania yetu kila sehemu kuna maligafi inayopatikana kwa mfano sehemu zinazolimwa miwa kwa wingi kama sio kiwanda cha sukari basi watu wanaweza kujiunga na kuwa na viwanda vidogovidogo vya kukamua juice ya miwa na kuipaki vizuri kibiashara na itakua na tija kwenye kuzalisha ajira na kukuza uchumi Wa taifa letu.