Uchumi wa kati

Uchumi wa kati

wined

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2015
Posts
2,294
Reaction score
2,784
Leo bana ni siku kuu ya krismas ikiwa watanzania au ww mtanzania unaye soma bandiko hili utakuwa na uwezo wa kupata aina ya mlo unaokula leo hii trh 25 Dec. Angalau mara 3 kwa wiki basi hii itakuwa indicator mojawapo ya Tanzania wananchi wake kuufikia uchumi wa kati.
 
Leo bana ni siku kuu ya krismas ikiwa watanzania au ww mtanzania unaye soma bandiko hili utakuwa na uwezo wa kupata aina ya mlo unaokula leo hii trh 25 Dec. Angalau mara 3 kwa wiki basi hii itakuwa indicator mojawapo ya Tanzania wananchi wake kuufikia uchumi wa kati.
Nani kakuambia kuwa uchumi wa kati unapimwa kwa kula pilau na soda?
 
Uchumi wa kati,uchumi wa viwanda ni slogan tu kama zingine zilizopita sawa na hapa Kazi tu,Kilimo kwanza,big result now,uwazi na ukweli
 
Uchumi wa kati,uchumi wa viwanda ni slogan tu kama zingine zilizopita sawa na hapa Kazi tu,Kilimo kwanza,big result now,uwazi na ukweli
Hahaha hv huu upupu nani anatungaga? Kauli mbiu zisizotekelezeka
 
Ukitaka kujua tanzania na uchumi wa kati kaangalie vibao vilivyotundikwa kwenye nyumba za Wageni ==> VYUMBA VIMEJAA
 
Hazitoweza tekelezeka sababu sio dira au vipaumbele vya kitaifa, bali huwa ni vya kila dereva aendeshaye basi letu,na havikamiliki sababu kila ajae huja na vyake na kuondoka navyo
Hahaha hv huu upupu nani anatungaga? Kauli mbiu zisizotekelezeka
 
Back
Top Bottom