igweeeeeeeeeeeeee!! jf. kwa muda sasa watu wamekuwa wakiwatafuta wenza kupitia forum hii, sasa nashangaa kwa nini hawaleti mrejesho nyuma(feedback)??. Yaani kama kwa babu watu wanagonga kikombe alafu hawatoi feedback. Mi ningefurahi kama wangetokea tukahudhuria na harusi zao pia. Inapendeza saana unajua. ila tatizo mtu anaandika anataka mwenza hatujui alipata au alikosa au alikutana na vibweka. Kwa nini hamsemi jamaniiiiii ili mtushawishi na wengine?????