VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Napongeza juhudi za Serikali ya awamu ya tano ya kupambana na rushwa,ufisadi na uhujumu uchumi. Napongeza pia kukatwa kwa matumizi yasiyo ya lazima ya Serikali. Hongera Rais Magufuli na Serikali yako. Tunazidisha maombi juu yenu.
Lakini,unajua mambo haya? Unajua kuwa TRA na Bandari-TPA ndiko kwenye mizizi ya CCM? Unajua kuwa wanufaika wa huko ni wanufaika wa keki ya Taifa na ni wamwaga sifa kwa chama na Serikali tawala?
Rais Magufuli,unajua kuwa matajiri wa huko ndiyo wapenda chama tawala kuliko hata maskini ambao wao hudanganywa tu wakati wa kampeni?
Rais Magufuli,unajua kuwa matajiri wa TRA na Bandari ndiyo wachangiaji wakubwa wa chama tawala na hata wagombea bora wa chama uchaguzini? Kugusa huko,ni kugusa mfupa wa CCM. Chama kitahisi maumivu muda si mrefu.
Truly,the ongoing reforms and fighting pain the ruling party than anyone else!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Lakini,unajua mambo haya? Unajua kuwa TRA na Bandari-TPA ndiko kwenye mizizi ya CCM? Unajua kuwa wanufaika wa huko ni wanufaika wa keki ya Taifa na ni wamwaga sifa kwa chama na Serikali tawala?
Rais Magufuli,unajua kuwa matajiri wa huko ndiyo wapenda chama tawala kuliko hata maskini ambao wao hudanganywa tu wakati wa kampeni?
Rais Magufuli,unajua kuwa matajiri wa TRA na Bandari ndiyo wachangiaji wakubwa wa chama tawala na hata wagombea bora wa chama uchaguzini? Kugusa huko,ni kugusa mfupa wa CCM. Chama kitahisi maumivu muda si mrefu.
Truly,the ongoing reforms and fighting pain the ruling party than anyone else!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam