Gharama inategemeana na mkoa ulipo kwa dar mita moja ni tsh 80000 na mikoani ni tsh 10000 hapo ni kila kitu kuanzia pump ,Pvc,Tank na flashing kwa mahitaji ya kuchimbiwa kisima wasiliana kwa no 0755485807Habari zenu wakuu.
Naombeni msaada wenu kwa mwenye ufahamu, gharama halisi za uchimbaji wa kisima kwa ajili ya umwagiliaji, yaani kilimo cha umwagiliaji.
Yaani mikoani ndio bei rahisi hivyo!? ( 10,000 )Gharama inategemeana na mkoa ulipo kwa dar mita moja ni tsh 80000 na mikoani ni tsh 10000 hapo ni kila kitu kuanzia pump ,Pvc,Tank na flashing kwa mahitaji ya kuchimbiwa kisima wasiliana kwa no 0755485807
Mimi nahitaji kwa ajili ya matumizi ya home kweli tuandikishiane mkataba kabisa ukinipatia nakupa 3,000,000 njoo na shahidi kabisa na yeye awake sahihi yakeGharama inategemeana na mkoa ulipo kwa dar mita moja ni tsh 80000 na mikoani ni tsh 10000 hapo ni kila kitu kuanzia pump ,Pvc,Tank na flashing kwa mahitaji ya kuchimbiwa kisima wasiliana kwa no 0755485807
Mkuu hata arusha tuna kuja but umeshafanya survey ya water tableMkuu Mi nipo Arusha, mna safiri sehemu mbalimbali au mna mawakala kila mkoa? Nauhitaji huo sana.
Mkuu hata arusha tuna kuja but umeshafanya survey ya water table na lin unahitaji kuchimbiwaMkuu Mi nipo Arusha, mna safiri sehemu mbalimbali au mna mawakala kila mkoa? Nauhitaji huo sana.
Sorry typing arror ni laki moja kwa mita kwaikoanYaani mikoani ndio bei rahisi hivyo!? ( 10,000 )
Mkataba unapewa ,umefanya survey kuwa unahitaji kuchimbiwa mita ngap na uko wapMimi nahitaji kwa ajili ya matumizi ya home kweli tuandikishiane mkataba kabisa ukinipatia nakupa 3,000,000 njoo na shahidi kabisa na yeye awake sahihi yake
nimefanya tayari niko Arusha kwa hiyo bei ya mita 10,000 chimba mpaka upate tulipaneMkataba unapewa ,umefanya survey kuwa unahitaji kuchimbiwa mita ngap na uko wap
Bei kwa mita ni laki moja kwa mikoan bossnimefanya tayari niko Arusha kwa hiyo bei ya mita 10,000 chimba mpaka upate tulipane
Asante kumbe ulikosea ndio mana niliona kama tumepata mkombozi kwa ile bei ya awaliBei kwa mita ni laki moja kwa mikoan boss