Uchi wa mbuzi

Duh! Hakika Deni la Taifa ni uchi wa Mhuni, ahhgg!!? sorry wa Mbuni, ngoja nipande hapa katika ukuta nisikilize, sorry tena nichungulie uchi wa Mbuzi maana hili Beberu matata kweli.
 
Unawezaje kumjua mtu ambaye anatembea bila kuvaa nguo ya ndani?
 
Mshana unapaswa kuwa makinikia (sorry makini) na hizo nanii za mbuzi unazozisema. 'Sisi' wengine hatujaribiwi tena ni 'stone, very 'real stone'. Naendelea kuendesha lori langu la abiria.
 
Mshana unapaswa kuwa makinikia (sorry makini) na hizo nanii za mbuzi unazozisema. 'Sisi' wengine hatujaribiwi tena ni 'stone, very 'real stone'. Naendelea kuendesha lori langu la abiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…