Wanajamvi eh! Swali langu naomba kujibiwa hivi nikivaa bukta bila ya shati nitakuwa uchi? Au shati pasipo kuvaa bukta? Nikivaa nguo mwili mzima je nitakuwa bado nipo uchi?
Swali langu naomba kujibiwa hivi nikivaa bukta bila ya shati nitakuwa uchi? Au shati pasipo kuvaa bukta? Nikivaa nguo mwili mzima je, nitakuwa bado nipo uchi?
Kuna watu hawako hawajui uchi,
Maana umeshaonwa na. Mamia ya watu jumlisha ma Monds wa whatup na telegram....
Nguo za sasa hiv kuna watu wanatamani wazivue kabisa yani
Jaman tutuze na tufiche nyuchi zetu
Swali langu naomba kujibiwa hivi nikivaa bukta bila ya shati nitakuwa uchi? Au shati pasipo kuvaa bukta? Nikivaa nguo mwili mzima je, nitakuwa bado nipo uchi?
Katika islamic,uchii wa mwanaume unaazazia kwenye kitovyu hadi kwenye gongosho za magoti,wa mwanamke ni mwili mzima isipo kuwa uso na viganjaa vya mikono