Ha ha ha daah ndumbaz,pamoja na kufanya yote wametolewa,funzo...ni kwamba ndumbaz haina msaada wowote kupata matokeo bora..
Kumbe uchawi upo na unafanya kazi kwenye Soka!
.
Yatupasa na sisi wadau mbalimbali tuunganishe nguvu ili kuisaidia timu yetu pendwa inayoitwa Taifa Stars a.k.a ''Kichwa Cha Mwendawazimu''.
Nimechanganya,yeah bado wapo!..Una uhakika wametolewa?
Nimechanganya,yeah bado wapo!..
Shukrani boss.Vizuri boss
Ghana hawajatokaHa ha ha daah ndumbaz,pamoja na kufanya yote wametolewa,funzo...ni kwamba ndumbaz haina msaada wowote kupata matokeo bora..
Na wewe ni mmoja wao? Je kama yeye ndo anaweka uchawi ?Hiyo ni chumvi anaondoa nuksi au dawa ya uchawi kama uliwekwa