Uchawa unalipa mkuu, sema hujapata hiyo nafasi adhimu !! Kuna machawa wenye maisha standard kuliko mfanyakaz/mtumishi mwenye salary yenye tarakimu sita !! Na wengine wamejenga, wamewekeza kwa huo huo uchawa ! Tuishi humo, fanya unachoona kinakufaa, usimfurahishe binadam mwenzio kuogopa atakuonaje n.k !
Case study,,,mengele, mwijaku , baba levo na walee wenzetu wengine