Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,572
Yes huyu ndiyo Dr. wa ukweli; ---- mmoja anaitwa Dr. Benson Bana Nimemsikia jioni hii kwenye BBC anasema fyongo kabisa.
Dr.Benson Bana vs Dr.Azaveli Lwaitama,sipat picha uwe mwanafunzi ambaye umefundishwa na hawa watu kwa kipindi ambacho unasoma UDSM,SIJUI UTAKUA MWANAFUNZ WA AINA GANI