Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,796
- 24,227
REKODI ZAIBEBA AL AHLY NYUMBANI, ZAIBANA SIMBA SC VIWANJA VYA UGENINI.
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi Ili ashinde ..then u all know what real happened....
Rekodi ya Al Ahly ikiwa nyumbani ni nzuri kwani haijapoteza mchezo wowote tangu Mei mwaka jana katika michuano yote, ukiondoa kipigo cha 1-0 kutoka kwa USM Alger katika mechi ya CAF Super Cup ambao wao walikuwa wenyeji ila ikichezwa Uwanja wa usio na mwenyewe..
Mechi ya marudiano ya Al Ahly na Simba itapigwa Ijumaa ijayo jijini Cairo kuanzia saa 5:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na mshindi wa jumla atatinga nusu fainali kuumana na mshindi wa robo fainali nyingine kati ya Esperance ya Tunisia na Asec Mimosas ya Ivory Coast zilizokuwa zikicheza jana usiku.
Pia Simba haina rekodi nzuri kwa mechi za ugenini za kimataifa, hasa Kwa waarabu
Kwani kwa msimu huu pekee katika mechi nne ilizocheza hadi kufika robo fainali, haikushinda hata moja zaidi ya kufungwa na
Je Al Ahly yupo tayari safari yake ya kwenda nusu fainali isitishwe na Simba Sc na kuandika rekodi ya kufungwa wakiwa kwao Misri ?!!!
Huu utakuwa ni wendawazimu kuamini Simba atatoboa
Tafsiri ya picha hapo juu
Kolo before match alijiamini ataenda mpasua Al ahly......
Unfortunately akakutana na kipigo ...hapo.baada ya kukandwa kolo alijifcha Kwa muda ./ Ailitokome
Then kolo wote wajiunga Kwa mamelodi Ili ashinde ..then u all know what real happened....